Doreen Kabareebe: Marufuku mwanaume yeyote asiye na gari kunipigia simu

Madem kama hawa raha sana, unaazima ndinga kali unahakikisha mfukon hukosi laki2 unampeleka sehem nzuri ale mnaunga maeneo akishapiga savanna kazaa hajielew unakula kilaini kabisa afu una block.
Unarekodi kabisa video ushahidi.
maana kuna mbeleni huko unaweza kukanwa
 
Kasema msio na magari msimpigie simu, sasa makasiriko yote hayo mnayaleta humu tatizo ni nini?
 
Madem kama hawa raha sana, unaazima ndinga kali unahakikisha mfukon hukosi laki2 unampeleka sehem nzuri ale mnaunga maeneo akishapiga savanna kazaa hajielew unakula kilaini kabisa afu una block.
Hakuna tatizo hapo kwani kapanda bodaboda kwasababu hakuna mwanaume mwenye gari aliyempata
Hao ndo wanaitwa malimbukeni, gari watu wataazima wakishampata mambo yanaishia hapo kumkomoa tu
Hapana jamani, huyo dada kateseka mno na mabodaboda, si unaona baada ya kuhojiwa kapanda bodaboda? hamtaki apate lifti hata kwenye ka IST mwenzenu? Hata kama utaazima poa tu, ili mradi ukishamkaza, umpelekepo geto kwake na kagari.
 
SASA AKIMPATA MWENYE GARI, YEYE ATAMPA NINI?
ANAKUNYA TANZANITE?
ANAKOJOA SERENGETI LAGER?
ANA BREED MAZIWA?


HAYA NDIO MATATIZO YA MIMBA ZA GESTI
 
Dada zangu ndoto za utajiri kupitia mifuko ya wanaume zinawatesa sana, kwani mwisho wa siku wanagundua sio real na wanabaki ku-face uhalisia ambao hawakujiandaa nao.
 
Picha ya kwanza inaonesha dada mmoja anaitwa Dooren Kabareebe kutoka Uganda katika kipindi cha redio akiojiwa na kutanganza vigezo vyake marufuku mwanaume yoyote asiye na gari kumpigia simu,yeye wanaume wake ni wenye magari tu.


Picha ya pili.

Baada ya kumaliza kipindi redioni akanaswa na kamera za shilawadu akipanda bodaboda anarudi nyumbani kwake.


Tunao sikilizaga redio na kuangalia vipindi kwenye tv.
Mbwa huyu ndio was kupakia kwenye gari yangu hata kama ni one ten asinizoee.
 
Back
Top Bottom