Biashara matangazo!Inakuwaje anatukalia uchi...
Unarekodi kabisa video ushahidi.Madem kama hawa raha sana, unaazima ndinga kali unahakikisha mfukon hukosi laki2 unampeleka sehem nzuri ale mnaunga maeneo akishapiga savanna kazaa hajielew unakula kilaini kabisa afu una block.
Unarekodi kabisa video ushahidi.
maana kuna mbeleni huko unaweza kukanwa
Kumbe Uganda napo ni pazuri nitaenda
Kumbe Uganda napo ni pazuri nitaenda
Madem kama hawa raha sana, unaazima ndinga kali unahakikisha mfukon hukosi laki2 unampeleka sehem nzuri ale mnaunga maeneo akishapiga savanna kazaa hajielew unakula kilaini kabisa afu una block.
Hakuna tatizo hapo kwani kapanda bodaboda kwasababu hakuna mwanaume mwenye gari aliyempata
Hapana jamani, huyo dada kateseka mno na mabodaboda, si unaona baada ya kuhojiwa kapanda bodaboda? hamtaki apate lifti hata kwenye ka IST mwenzenu? Hata kama utaazima poa tu, ili mradi ukishamkaza, umpelekepo geto kwake na kagari.Hao ndo wanaitwa malimbukeni, gari watu wataazima wakishampata mambo yanaishia hapo kumkomoa tu
Mbwa huyu ndio was kupakia kwenye gari yangu hata kama ni one ten asinizoee.Picha ya kwanza inaonesha dada mmoja anaitwa Dooren Kabareebe kutoka Uganda katika kipindi cha redio akiojiwa na kutanganza vigezo vyake marufuku mwanaume yoyote asiye na gari kumpigia simu,yeye wanaume wake ni wenye magari tu.
Picha ya pili.
Baada ya kumaliza kipindi redioni akanaswa na kamera za shilawadu akipanda bodaboda anarudi nyumbani kwake.
Tunao sikilizaga redio na kuangalia vipindi kwenye tv.