chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,718
Picha ya kwanza inaonesha dada mmoja anaitwa Dooren Kabareebe kutoka Uganda katika kipindi cha redio akiojiwa na kutanganza vigezo vyake marufuku mwanaume yoyote asiye na gari kumpigia simu,yeye wanaume wake ni wenye magari tu.
Picha ya pili.
Baada ya kumaliza kipindi redioni akanaswa na kamera za shilawadu akipanda bodaboda anarudi nyumbani kwake.
Tunao sikilizaga redio na kuangalia vipindi kwenye tv.
Picha ya pili.
Baada ya kumaliza kipindi redioni akanaswa na kamera za shilawadu akipanda bodaboda anarudi nyumbani kwake.
Tunao sikilizaga redio na kuangalia vipindi kwenye tv.