Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,342
- 224,750
Utapata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapata.
Nmecheka mbele za watu
Wewe unaonaje kuhusu reception Yake??
Nini mtazamo wako juu ya hb wasirra??
Dah mfia team asee sema gam ikiisha na yeye kaisha ha ha haaSijawahi kumwona.
Ntakuwa makini.
Kiukweli I won't be fair kum-judge kwenye hiyo category.
We are all handsome if we have cash.
I agree with you! We are all handsome if we have cashKiukweli I won't be fair kum-judge kwenye hiyo category.
We are all handsome if we have cash.
I agree with you! We are all handsome if we have cash
Nasubiri jibu
Vipi kuhusu Mada
Wewe unatushauri Nini wadada?
It is man!Thank you, that is a Fact.
Itakua umesahau tu hapa umemlikeSijawahi kumwona.
Ntakuwa makini.
Vipi kuhusu Mada
Wewe unatushauri Nini wadada?
"If it exists"Mimi nina mtoto wa kike, kitu kikubwa ambacho ninatamani kumwona anacho ni yeye kuwa huru kifedha.
Awe na chanzo chake cha fedha, either kazi au mradi ili aweze kujilea na kulea watoto wake.
Swala la nini akitafute kwenye mapenzi ni juu yake, but real love would be the best thing if it exists.
Yaani mimi sikuwahi kudhani kwamba ni gender pendwa.Itakua umesahau tu hapa umemlikeView attachment 1125412
"If it exists"
Hatari sana!This thing is a myth, especially in Africa.
GoodMimi nina mtoto wa kike, kitu kikubwa ambacho ninatamani kumwona anacho ni yeye kuwa huru kifedha.
Awe na chanzo chake cha fedha, either kazi au mradi ili aweze kujilea na kulea watoto wake.
Swala la nini akitafute kwenye mapenzi ni juu yake, but real love would be the best thing if it exists.
Nilikua makini kumtafakali maandishi yake ha ha haaaYaani mimi sikuwahi kudhani kwamba ni gender pendwa.
Avatar ilikuwa inaniblock.
She has my attention from now on.
Kwanini unasema hivi ???This thing is a myth, especially in Africa.
I want money i want moneyNeno langu sio sheria, ila ukiona inafaa na tuipitishe.
Dear ladies, you are not eating shapes, na ya nini uharibu uzuri wako kwa kujipeleka kwa watu wasio wapambanaji??
My number one responsibility should be making sure that I do my best to give you all that you want. Stop stressing yourself up 🤣🤣🤣🤣
"Love yourself first before loving anyone " mmeuskia huo msemo wadada??
Nimeskia mlikuwa na kikao na maazimio yenu ni kwamba eti msichati na mwanamme yoyote ambae hahudumii🤣🤣🤣🤣🤣????
Kumalizia tu ni kwamba "asiyefanya kazi na asile"
Kwanini unasema hivi ???
anataka kuweka excuse kwa kua na mtumbo mkubwa kama kanda la bagia....hela tunatafuta na ma body mazuri tunayajengaMkuu kwani ni sheria ipi inasema mwenye six packs hapaswi kuwa na six cars..!?
Kwani wenye six packs sio wapambanaji..!?
Na kama sio wapambanaji wewe unadhani walizipata vipi hizo six packs..!?
Mkuu mazoezi ni afya.