Imekaa vema mkuu.... Ni kweli lakini ukiangalia kwa undani. Weusi wengi wanapenda kuspend zaid wanasahu kesho nayo ipo. Ndo maana unawaona wengi waliyokuwa nazo baada ya mda wanakuwa masikini kama vile hawajahi kuzishika. Hata hapo Bongo ni hivyox2 tu, tunaangalia zaidi leo tunasahau kesho. Ni wachache wanakumbuka savings/Investments zaidi ya kusema ''nikizipata zaidi ndo nitaanza kusave/kuinvest'' wakati hapo tunanunue magari ya kifahari na kuishi nyumba za gharama za KUPANGA, simu ya millioni moja laki 8, nk ili mradi tu tulete heshima mtaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.