Don't bet against Magufuli, utaliwa...

Kusema ukweli hii kesi ya ESCROW wa wapenda nchi ilikua na sura mbaya sana kwa Taifa letu. Lakini ni mapema sana serikali itafute mawakili wazuri sana maana mh!
 
Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!

Wahamisha magoli wawe waangalifu
Mwanakijiji na wewe unakuwa draged kirasi hivi?? Ni lini uliona takukuru wakipeleka mtu mahakamani wanaitish hadi mkutano na wandishi wa habari?? Hata hili hujaliona?? Hizi ni movie na maigizo kama mengine tu, acacia imetulia sasa ni gia lingine ili siku zisogee, na hili nalo litaisha hivi hivi
 
Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!

Wahamisha magoli wawe waangalifu
rugemalira.png

Kwa Magufuli kila goti la fisadi litapigwa
 
Mwanakijiji na wewe unakuwa draged kirasi hivi?? Ni lini uliona takukuru wakipeleka mtu mahakamani wanaitish hadi mkutano na wandishi wa habari?? Hata hili hujaliona?? Hizi ni movie na maigizo kama mengine tu, acacia imetulia sasa ni gia lingine ili siku zisogee, na hili nalo litaisha hivi hivi
Hivi unadhani kumpigisha magoti Karasinga mchezo?
 
62 Reactions
Reply
Back
Top Bottom