Don't ask don't tell...na kinachoendelea Tanzania..

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,884
Zamani kidogo wakati wa uongozi wa Bill Clinton USA....kulikuwa
na policy wanaiita 'Don't ask don't tell' kwenye jeshi la Marekani....
hii iliwahusu Gays walioko kwenye jeshi....serikali iliiona ikisema
inawatambua italazimka kujadili na kutambua haki zao mbali mbali
bora ijikaushe ijifanye haiwaoni....na wao gays walitakiwa kutojitangaza....
kwa hiyo sera ndo ikawa hiyo....'gay hajitangazi..na jeshi linafanya halimuoni'
au halijui kama yupo na mtu yoyote jeshini hatakiwi kusema lolote lile kama
kuwatambua ...'don't ask don't tell...


Siasa zetu sasa naweza kusema zimefika mahali kila mtu mwenye akili
anatakiwa kujifanya 'haoni lolote lile ambalo haliko sawa'

vinginevyo unaweza jikuta unachangiwa matibabu au unazikwa..
don't ask don't tell.... ni mwendo wa kuigiza tu kuwa kila kitu shwaari...
nchi iko vizuri,,,na mambo yanaenda sawa kuelekea Tanzania ya Viwanda.....
 
Hawezi kutufikisha popote kwakuwa ni.mnafiki huyu! Uondoe watu kazini kww vyeti feki kisha umbakishe mmoja ati anapambana na madawa. Unaacha kupandisha watu mishahara ambayo ipo kkisheria kisha useme hadi uzaloshaji.uongezeke. uzaloshaji upi na kule moshi ulisemaje?
KISA ULIWAPA MLUNGULA HAO TUCTA Hutafanikiwa wewe. Mungu akulaani
 
Hawezi kutufikisha popote kwakuwa ni.mnafiki huyu! Uondoe watu kazini kww vyeti feki kisha umbakishe mmoja ati anapambana na madawa. Unaacha kupandisha watu mishahara ambayo ipo kkisheria kisha useme hadi uzaloshaji.uongezeke. uzaloshaji upi na kule moshi ulisemaje?
KISA ULIWAPA MLUNGULA HAO TUCTA Hutafanikiwa wewe. Mungu akulaani
Ndugu mbona unakuwa si msikivu? Si umeshaambiwa ''dont tell''..hembu tusimsumbue bwana yule katika juhudi zake za kutupeleka kwenye tanzania ya viwanda..tuungane kumuombea.

Ila hakyanani sijui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom