Don't Allow this! Kumwoa mwanamke aliyekuzidi urefu na elimu

kiwatengu

Platinum Member
Apr 6, 2012
17,456
14,383
Mazee! Hata uwe na pesa kiasi gani, kuoa mwanamke aliyekuzidi urefu i mean urefu wa kimo pamoja na elimu lazima akusumbue na utaibiwa sana.

Hii ishu kubwa sana kwenye ndoa ni wanawake wachache sana wanaoweza kuwavumilia wanaume wafupi na ambao wamewazidi elimu.

Na ni vitu vinavyoweza kuepukika.

Nadhani niko sahihi, karibu kama una hoja.
 
Man, when I like something I go for it!

Tushawaona wanaume warefu wakioa wanawake wafupi na wakashindwana!

One man's poison is another mans medicine!

Just because it didn't work for you it doesn't mean that it won't work for someone else!

Most importantly, I judge people by their wisdom, age or height have a little to do with my decisions!

Usiku mwema!
 
Mazee hata uwe na pesa kiasi gani, kuoa mwanamke aliyekuzidi urefu i mean urefu wa kimo pamoja na Elimu lazima akusumbue na utaibiwa sana. Hii ishu kubwa sana kwenye ndoa...ni wanawake wachache sana wanaoweza kuwavumilia wanaume wafupi na ambao wamewazidi elimu...

Na nivitu vinavyoweza kuepukika...

Nadhani niko sahihi, karibu kama una hoja...

Lililokupata Wewe kamwe usitake kulihalalisha kwa wengine tafadhali. Epuka sana Fallacy of Generalization Kiongozi.
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom