Mke wangu ana Master Degree kidune nina Bachelor yangu tu,sijawahi ona au sikia akinidharau! Kama ulivyosema ni wachache mke wangu pia kati ya hao wachache yumo!Mazee hata uwe na pesa kiasi gani, kuoa mwanamke aliyekuzidi urefu i mean urefu wa kimo pamoja na Elimu lazima akusumbue na utaibiwa sana. Hii ishu kubwa sana kwenye ndoa...ni wanawake wachache sana wanaoweza kuwavumilia wanaume wafupi na ambao wamewazidi elimu...
Na nivitu vinavyoweza kuepukika...
Nadhani niko sahihi, karibu kama una hoja...
He is 6,2"that "though" describe something
Love comes from inside and when that force operates nothing can hinder itSawa...we unaoje lakini? dada kuwa mrefu kuliko kaka!!
Hua wanavunga tu....mimi ni mfupi sintokaa nioe mfupi huwa hata madem wangu ni warefu tu na nikiwaacha wanalialia tu
Mkuu kila mwanamke/mwanaume na tabia zake! Kuchapiwa unaweza chapiwa hata kama mkeo ana Certificate, Diploma,Degree, Master au PhD!Kwani nimesema kudharauliwa?
Nazungumza kuchapiwa...
same here, akishakuwa mrefu regardless muonekano wake tayari ana 10% yake, akiongeza na weusi weuweee lazima nigeuke tuI love tall guys though.