Kweli kabisa mkuuMan, when I like something I go for it!
Tushawaona wanaume warefu wakioa wanawake wafupi na wakashindwana!
One man's poison is another mans medicine!
Just because it didn't work for you it doesn't mean that it won't work for someone else!
Most importantly, I judge people by their wisdom, age or height have a little to do with my decisions!
Usiku mwema!
nyie ndo wale wale mnawaza ndoa kuwa ni picha za harusi tu
HahaaaSasa unataka wafupi waoe wafupi wenzao si watazaa sturi jamani acheni ubaguzi
Nifundisheni na mm cha kuongea ase nashindwa kuomba hata papuchi za wazunguAnd, are you tall or short.?
5.6"
Nifundisheni na mm cha kuongea ase nashindwa kuomba hata papuchi za wazungu
tukio la kihistoria lile, watu hawataki mchezo na picha zao.Haaaaa Haaaaa Haaaaa Haaaaa teeeh teeeh teeeh, nimekumbuka mbali sana
Ilikuwa hivi nikiwa mdogo sana, basi harusi kidogo ivunjwe ile sherehe sababu,
Cameraman kachanganya maeneo harusi ilipo yeye kaenda kwa jirani yaani mtaa Kama wa nne kutoka harusi aliyopewa tenda ya kupiga picha ilipokuwa.
Kafika kule, kapiga picha zake kisha kafakamia bia na Chakula wanakuja kumuona yaani yupo hoi hata kitufe cha kuwasha camera hawezi kutambua kilipo. Basi, wakachukua kijana mwingine wakamuelekeza akapiga picha Ila msala ulikuwa ni mkali sana.
Did I say that?and you have short one ooh?
Ur very right...butMan, when I like something I go for it!
Tushawaona wanaume warefu wakioa wanawake wafupi na wakashindwana!
One man's poison is another mans medicine!
Just because it didn't work for you it doesn't mean that it won't work for someone else!
Most importantly, I judge people by their wisdom, age or height have a little to do with my decisions!
Usiku mwema!