Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,321
- 115,321
Watu hawayajui mapenzi yalivyo na nguvu yake
Aliimba mshairi wa Unguja;
Mapenzi ni ngao kaa ufikiri
Kwa wapenda nao hukaa wawili
Fanya chuki nao wala hawajali
Hupeana vyeo wenyewe kwa siri
KAMA HUYAJUI ULIZA WENZIO
Na kweli Ses hakukosea huyo Mshairi.