Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,272
- 2,419
Kwani kufungua vyuo,mashule,mabaa huko DSM na usafiri wa anga ni kua Covid-19 imeisha nchini?Anafungua kanisa, Corona imeisha?
maana Kwa mjibu wake, Corona ni hatari Kwa kanisa analoliongoza, inakuweje watu anaowaongoza awatie kwenye tanuru?
Nadhani Hadi hapa atakuwa na yeye amejifunza nini Maana ya Imani na sio nini Maana ya Itikadi kwenye Imani
Nilishangaa kufunga hizi huduma wakati hamjui lini Covid-19 itaisha.