Kyindikibisi
Member
- Apr 7, 2018
- 72
- 35
Vigezo vya kufanya na uwa ni sh ngapi na wanaangali nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
H
Hizi IELTS tests ndo kikwazo mkuu
Vigezo vya kufanya na uwa ni sh ngapi na wanaangali nini
Hakuna vigezo vikubwa.. basically unajisajili na lazima uwe na passport ID
Na fee ya kuufanya ni Tshs. 590,000
dah ni kweli kabisa schoolarship nyingi wanataka huu mtihani IELTS
Ah kweli mkuu ? embu nipedondoo juu ya izo schoolarshipKuna vyuo baadhi wao hawahitaji iyo IELTS... wanahitaji proof tu kuwa degree uliyosoma, masomo yake yalikua yanfundishwa kwa kingereza basi....hii inakua njia ya kuanza kua apply ufadhiri coz utakua umepata offer ya masoma kwa chuo,...
Ah kweli mkuu ? embu nipedondoo juu ya izo schoolarship
Okay mkuu nimekusoma tuendelee kuhabarishana juu ya haya mambo mazuri alafu nazani wa TZ tukiwa na unite kama wenzetu wa KE hususani ktk fursa kama izi za abroad tunaweza kufika mbali sanaa, juzi nilikuwa natazama makala flani ivi ktk station moja ya luninga, ss ikagundulika wakenya ndio wapo wengi wanafundisha hii lugha yetu maridhawa ya kiswahili kule State ktk vyuo vikubwa vikubwaKitu cha kwanza, pata iyo proof. Zinapatika chuoni ulikomaliza au unakosoma....pia kuna some college hasa USA wao kama O level English ulipata c,B, Or A unapata tu admission
,,Kuna hii ;
Swedish Institute Scholarships for Global Professionals (SISGP)
Moja ya Scholarship rahisi kabisa kufanya application yake na kama una vigezo pia ni rahisi kupata.
Pia hawahitaji TOEFL/IELTS.
kazi inabaki kuwa kwenu;
Swedish Institute Scholarships for Global Professionals | Swedish Institute
ila inabidi uandae applicaton fees ila ni kidogo sana,kwa maelezo zaidi soma link hapo juu.
Asante.