Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

asante mkuku,naomba nisaidie namna au kujua jins ya kupata past paper zao...
af ukilipia mtihan unatakiwa ukapige mtihan tu au watoa short koz?
Siku hizi Materilas yote yapo Online,pia ukifanya registration wanakupa materials zaidi unaweza nunua vitabu yako ukitaka ila kwa hakika kila kitu kipo Mtandaoni.
 
Wakuu habari ya muda....

Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania.

Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya Tanzania, tupeane maelekezo na hatimaye wengi wetu tutoke na kwenda kujifunza dunia inaendaje upande mwingine wa Dunia.

Nitakuwa mstari wa mbele kutoa updates na maelekezo kadiri nitakavyoweza....

Karibuni sana!
FURSA YA UDHAMINI MASOMO YA MASTERS NCHINI IRELAND

I wanted to make you aware that the Embassy of Ireland has recently opened applications for 2019/2020 Government of Ireland Scholarship Awards.

The Irish Fellowships Training programme is a global programme offering fully-funded fellowships for future leaders and influencers to study in Ireland. The programme presents a unique opportunity to study in an international setting and benefit from the research facilities provided some of the top Universities and Institutes of Technology in the world. Past alumni who have participating in the programme have highlighted the professional and academic development they have gained, the opportunities to develop new networks, and their enjoyment of experiencing Irish culture.

I am attaching a copy of the full list of courses available under the programme and an application form.

To be eligible to apply applicants must:

be a Tanzanian citizen
be resident in Tanzania
have achieved a 1st class or 2.1 in their undergraduate studies
be able to demonstrate a strong commitment to the development of Tanzania
be able to meet the required International English Language Test (IELTS) score for entry into Irish Universities www.ielts.org (Minimum score 6.5)
be applying to commence a be able to take up the fellowship in the academic year 2019
have identified a course from the provided course list
be pursuing a new qualification and not be seeking funding for a course that has already commenced or which will begin before fellowship awards have been notified

The closing date for receipt of applications from Tanzania is 12pm on Friday 30th November 2018.

For more details about the programme and the application process please refer to the Irish Embassy website: Opportunities to Study in Ireland - Department of Foreign Affairs and Trade. Applications from female candidates are particularly welcomed.

Please feel free to circulate this information amongst your wider networks. If you have any questions or would like further information please contact my colleagues managing the programme at: TanzaniaFellowships@dfa.ieView attachment Irish-Aid-Fellowship-Training-Programme-Application-Form-2019-1.pdf
 
FURSA YA UDHAMINI MASOMO YA MASTERS NCHINI IRELAND

I wanted to make you aware that the Embassy of Ireland has recently opened applications for 2019/2020 Government of Ireland Scholarship Awards.

The Irish Fellowships Training programme is a global programme offering fully-funded fellowships for future leaders and influencers to study in Ireland. The programme presents a unique opportunity to study in an international setting and benefit from the research facilities provided some of the top Universities and Institutes of Technology in the world. Past alumni who have participating in the programme have highlighted the professional and academic development they have gained, the opportunities to develop new networks, and their enjoyment of experiencing Irish culture.

I am attaching a copy of the full list of courses available under the programme and an application form.

To be eligible to apply applicants must:

be a Tanzanian citizen
be resident in Tanzania
have achieved a 1st class or 2.1 in their undergraduate studies
be able to demonstrate a strong commitment to the development of Tanzania
be able to meet the required International English Language Test (IELTS) score for entry into Irish Universities www.ielts.org (Minimum score 6.5)
be applying to commence a be able to take up the fellowship in the academic year 2019
have identified a course from the provided course list
be pursuing a new qualification and not be seeking funding for a course that has already commenced or which will begin before fellowship awards have been notified

The closing date for receipt of applications from Tanzania is 12pm on Friday 30th November 2018.

For more details about the programme and the application process please refer to the Irish Embassy website: Opportunities to Study in Ireland - Department of Foreign Affairs and Trade. Applications from female candidates are particularly welcomed.

Please feel free to circulate this information amongst your wider networks. If you have any questions or would like further information please contact my colleagues managing the programme at: TanzaniaFellowships@dfa.ieView attachment 916540
Hii document ina maelezo ya kozi na vyuo ambazo unaweza apply hii scholarshipView attachment Irish-Aid-Fellowship-Directory-of-Eligible-Postgraduate-Programmes-2019.pdf
 
Kwanza nikuulize kwanini unagopa kufanya TOEFL/IELTS?kifupi ili kupata scholarship nzuri hizo papers hazikwepeki na huo ni ukweli,tafuta pesa jiandae,weka mikakati ya kusoma na utapata hiyo 6.5(IELTS) au 90(TOEFL).
Ila kwa haraka haraka ,kuna scholarships hapa ambazo unaweza kupata bila hiyo mitihani;
1.E&M OF Mancherster University.
International master’s scholarships for Tanzania students | The University of Manchester

2.Swedish Institute Scholarship
Swedish Institute Study Scholarships (SISS) | Swedish Institute

3.Australiaawardsafrica
Home
Mkuu habari za majukumu.
Hope upo oky.

Mm nmevutika sana na hiyo no.3
Naweza kuku pm ili unisaidie kwa ukaribu. Nipo serious ktk hili.

Nitangulize shukrani.
 
Mkuu habari za majukumu.
Hope upo oky.

Mm nmevutika sana na hiyo no.3
Naweza kuku pm ili unisaidie kwa ukaribu. Nipo serious ktk hili.

Nitangulize shukrani.
Hakuna shaka ...Andika nitakujibu kwa kadri nitakavyoweza.Karibu.
 
Wadau naomba ukweli juu ya hii kitu, kuna matu amenieleza kuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili(aliyekwishamaliza mwaka wa pili na anataraji kuingia mwaka wa tatu) anaweza kuapply hizo skolashipu provided kuwa matokeo yake ya miaka miwili yako vzr then anaaply kbs provided that mwaka unaofuata anapomaliza chuo anapeleka na matokeo ya mwaka wa mwisho then anajiunga masters huo mwaka husika; je hii ipo kweli?
Ahksante
 
Back
Top Bottom