alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,362
- 3,103
Hey wakuu ni naombeni kujua ninataka kufanya mitihani ya IELTS, then badae niombe scholarship lakini sijui taratibu za kufata adi nifanikiwe juu ya a dhima yangu tafadhali kwa mwenye uelewa naomba anipe elimu juu ya utaratibu wa kufata na namna ya kutacle mitihan yao