Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

vipi kuhusu scholarship za diploma kwa mwenye kufanya mitihani ya bodi ya KNEC na cheti cha b.admin?kuna uwezekano wa kupata scholarship?
 
shukran mkuu,kwa hyo kwa mfano kama umesomea o level nje hata ukiwa na ufaulu wa kuridhisha,huwezkupata?
Unamaanisha nje ya Tanzania? Kama nje ya Tanzania sidhani kama unaweza kupata hiyo scholarship, maana utaonekana wazazi wako wana uwezo wa kifedha. Unless kama nje ulisoma kwa ufadhili, ambapo itabidi uambatanishe ushahidi.

Hiyo scholarship ina target watu kutoka familia zenye uwezo kidogo. Na ni vigumu sana kudanganya. Maana moja ya application document ni financial questionnaire, ambayo ina maswali lukuki juu ya hali ya kifedha ya mwombaji.
 
Unamaanisha nje ya Tanzania? Kama nje ya Tanzania sidhani kama unaweza kupata hiyo scholarship, maana utaonekana wazazi wako wana uwezo wa kifedha. Unless kama nje ulisoma kwa ufadhili, ambapo itabidi uambatanishe ushahidi.

Hiyo scholarship ina target watu kutoka familia zenye uwezo kidogo. Na ni vigumu sana kudanganya. Maana moja ya application document ni financial questionnaire, ambayo ina maswali lukuki juu ya hali ya kifedha ya mwombaji.
shukran mkuu,vp kama nilweza kupata ufadhili kwa mtu wa karibu,bila mzazi kuwepo
 
Wakuu habari ya muda....

Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania.

Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya Tanzania, tupeane maelekezo na hatimaye wengi wetu tutoke na kwenda kujifunza dunia inaendaje upande mwingine wa Dunia.

Nitakuwa mstari wa mbele kutoa updates na maelekezo kadiri nitakavyoweza....

Karibuni sana!
OK
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom