Wanajamvi naomba kuuliza he majina ya wanafunzi walioomba kujiunga na mafunzo kwa vitendo yameshatoka? Kwa sababu TANGAZO linaonesha majina yatawekwa kwenye tovuti ya chuo lakini sijayaona mpaka Leo ili hali ilipaswa yatoke kuanzia tr 1/8 mpaka tr 5/8