Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Kama vipi D. Trump atangaze hali ya hatari vyovyote vile lakini asiruhusu marionette Biden awe Rais wa USA, kufanya hivyo ni kuhalalisha wizi wa kura na huo ndiyo mwanzo wa mwisho wa Republican party USA. Biden ni warmonger, miaka 4 ya D.Trump Dunia imekaa kwa amani bila ya vita na USA alianza kuondoa majeshi yake nchi mbali mbali mfano Somalia, Afghanistan na kwingineko.
It's not over!
It's not over!