kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Marekani hawajawahi kupata rais mpuuzi, mpumbavu na kichaa kama Donald Trump
Huyu Bwana akili zake hazikua nzima, ni Rais aliyeitia dunia hasara, na aliyewatia Marekani hasara
Jamaa alianzisha vita ya biashara na China matokeo yake yakaathiri hadi za dunia ya tatu, Shipping cost ziliongezeka duniani kwasababu ya mwanasesere mmoja tu kutoka Washington. Mnaoagiza bidhaa nje ni mashahidi, matokeo ya vita ya biashara yalipandisha sana gharama za kusafirisha mizigo, hiyo ni athari moja tu iliyonikumba hata mimi na biashara zangu za kununua mizigo kwa makontena kutoka China.
Nirudi kwenye makubaliano ya JCPOA ambayo ni Joint Comprehensive Plan of action
Yalikua ni makubaliano ya Nyuklia kati ya Iran na madola makubwa duniani
Ambayo ilikua ni makubaliano kati Ya Iran na kundi la 5+1 ambayo Ni US,UK,Russia,China,France+Germany pia EU ilihusika
Yalifikiwa vienna july 14 2015. Haya ni makubaliano ya kipekee ya karne yalowahi kufikiwa na kuwa na uzuri na sifa na rekodi ya aina yake Soma zaidi Joint Comprehensive Plan of Action - Wikipedia
Nitakuja kuchambua kwanini nasema yalikua ya aina yake nikijaaliwa muda
Huyu Trump alivyoingia akafuta makubaliano ya Iran na kuanza kuitia Iran vikwazo vya kidhulma nasema ni vya kidhulma maana havikua na tija maana iran ilikua ishaachana na mpango wa nyuklia na kuingia mezani na kupata makubaliano.
Akafuta akijitapa lakini nikuulize kulikua na faida gani ya trump kuvuruga haya makubaliano? Haya makubaliano yalikua muhimu mno kwa dunia na ustawi duniani lakini akaharibu. Trump na yule bwana wanafanana na wote wameishi na kutawala kwa term moja tu
Sijui walimuokota wapi huyu na kumpa nchi watu kama trump hawafai kabisa na ni hatari sana kwa usalama wa dunia
Jamaa aliharibu makubaliano ya Jcpoa kwa matakwa yake binafsi na kukurupuka
Soma zaidi mwanzo mwisho ujuwe kwanini Jcpoa ilikua ni the best agreement ever
Huyu Bwana akili zake hazikua nzima, ni Rais aliyeitia dunia hasara, na aliyewatia Marekani hasara
Jamaa alianzisha vita ya biashara na China matokeo yake yakaathiri hadi za dunia ya tatu, Shipping cost ziliongezeka duniani kwasababu ya mwanasesere mmoja tu kutoka Washington. Mnaoagiza bidhaa nje ni mashahidi, matokeo ya vita ya biashara yalipandisha sana gharama za kusafirisha mizigo, hiyo ni athari moja tu iliyonikumba hata mimi na biashara zangu za kununua mizigo kwa makontena kutoka China.
Nirudi kwenye makubaliano ya JCPOA ambayo ni Joint Comprehensive Plan of action
Yalikua ni makubaliano ya Nyuklia kati ya Iran na madola makubwa duniani
Ambayo ilikua ni makubaliano kati Ya Iran na kundi la 5+1 ambayo Ni US,UK,Russia,China,France+Germany pia EU ilihusika
Yalifikiwa vienna july 14 2015. Haya ni makubaliano ya kipekee ya karne yalowahi kufikiwa na kuwa na uzuri na sifa na rekodi ya aina yake Soma zaidi Joint Comprehensive Plan of Action - Wikipedia
Nitakuja kuchambua kwanini nasema yalikua ya aina yake nikijaaliwa muda
Huyu Trump alivyoingia akafuta makubaliano ya Iran na kuanza kuitia Iran vikwazo vya kidhulma nasema ni vya kidhulma maana havikua na tija maana iran ilikua ishaachana na mpango wa nyuklia na kuingia mezani na kupata makubaliano.
Akafuta akijitapa lakini nikuulize kulikua na faida gani ya trump kuvuruga haya makubaliano? Haya makubaliano yalikua muhimu mno kwa dunia na ustawi duniani lakini akaharibu. Trump na yule bwana wanafanana na wote wameishi na kutawala kwa term moja tu
Sijui walimuokota wapi huyu na kumpa nchi watu kama trump hawafai kabisa na ni hatari sana kwa usalama wa dunia
Jamaa aliharibu makubaliano ya Jcpoa kwa matakwa yake binafsi na kukurupuka
Soma zaidi mwanzo mwisho ujuwe kwanini Jcpoa ilikua ni the best agreement ever
Joint Comprehensive Plan of Action - Wikipedia
en.m.wikipedia.org