Donald Trump Quote.

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Jul 31, 2017
1,606
1,956
"Going into the middle East was the worst ever made decision since the history of our country.
We to war under a false and now a disproven premise Weapons of Mass Destruction there were none!
Now we are slowly and carefully bringing our great solders and military home"
 
Huwezi kuwa Taifa kubwa duniani kama hupigani vita

USA haiwezi kuepuka vita
 
Anajifanya hajui kwamba walitunga huo uongo ili wakachote mafuta Iraq? Hajui kwamba walitaka kufanya hivyo kwa Venezuela kupitia Juan Guaido ili wakajichotee mafuta? Na hata sasa huko Iran ni wanatafuta sababu kwa kuwa-provoke Iran ili wakirudisha kisasi basi US ipate sababu ya kuingia Iran na kujichotea mafuta? Hata Libya si walimtungia zengwe Gadaffi na sasa wanafyonza tu mafuta? Au anafikiri na sisi tumesahau? Mbona hawataki kwenda Somalia pamoja na ugaidi wa Alshabab, kisa hamna mafuta sio? Kama walipenda haki za walibya kwanini hawakuingilia mauaji ya kimbari Rwanda ila Libya wakajidai kutetea democracy.., washenxi tu hao
 
Back
Top Bottom