Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Wamwangalie hata kwa jicho la saba hawawezi lolote.......
Haya Mambo Trump aliahidi mapema Kabisa hata Kabla hajapitishwa na Chama chake cha Republican kuwa Mgombea....
Tatizo ni kwamba watu wengi Hasa nchi za Kiislamu walifikiri Trump anatania Hawakujua kuwa alikuwa Serious ...sasa Mzee anatimiza alichoahidi watu wanapagawa na kuanza Kumtolea vitisho....
Kumtishia Raisi wa USA ni kazi bure....
Mimi ningeshangaa kama angekuwa kakurupuka Kumbe aliahidi zaidi ya miezi 21 iliyopita?
Ahadi ya Trump
Na huu mpango mchakato wake ulianza tangu kipindi kile George Tenet akiwa ni Mkurugenzi wa CIA kabla ya kujiuzuru ili kuwa karibu na mtoto wake aliyekuwa anakwenda kujiunga chuo kikuu