Donald Trump kusema hataki kulindwa na CIA ni sawa na Magufuli kukataa kulindwa na TISS

Sijachanganya na najua vizuri kile ninachokiongea au kukiandika hapa
Ndani ya marekani kuna taasisi 6 za ulinzi na usalama
1 CIA = Central Intelligence Agency kazi yao ni kukusanya taarifa zote za kijasusi nje ya marekani kwa maslai ya marekani

2 Secret service kazi yao ni kumlinda Rais,makamu rais pamoja na familia zao pia jukumu la ulinzi wa ikulu na maeneo yote ambayo rais na makamo watakuwapo mfano Camp david hii ni Presidential Retreat pia na kudeal na Money laundering ndani ya US na nje ya US kwani usd ni fedha inayotumika dunia nzima

3 FBI = Federal Bureau of Investigation hawa ni federal police ndani ya US kumbuka US inamajimbo 50 na kila jimbo lina police wake mfano NYPD,LAPD,CHPD,etc so kuliitajika federal police wenye acces ya kuingia kila jimbo na kufanya kazi yao lakni kwa makosa ya Federal cases au makosa makubwa ya jinai pia wanahusika na ulinzi wa ndani wa balozi zote za US duniani

4 Homeland security hawa wanadeal na kufanya au kukusanya taarifa zote za kijasusi ndani ya marekani yani kifupi wanadeal na mambo ya kiusalama ndani ya US

5 DIA = Defense Intelligence Agency hawa wanadeal na mambo ya usalama wa jeshi yani military intelligence ndani ya US na Nje ya US

6 NSA = National Security Agency hili ndo shirika mama la usalama ndani ya marekani na taasisi zote madirector wate wa taasisi za usalama na ulinzi nilizozitaja hapo juu wanareport kwa diretor wa NSA na director wa NSA ndio mwenye security clearance kubwa na yeye ndio anakuwapo ktk kikao cha The President's Daily Brief (PDB) kinachofanyika kila siku saa 07:45 AM ambapo rais anapokea taarifa zote za kijasusi na mambo ya usalama na wanaohudhulia ktk kikao hicho ni Commander-in-chief,VP,defense secretary,director of NSA na National security adviser naomba niishie hapo tu .
Nimekuelewa
 
Hii ni habari ya KUPOTOSHA sana.
Kwanza Rais wa Marekani halindwi na CIA. CIA ni kitengo tofauti kabisa kinachojishughulisha na masuala tofauti kabisa.

Ulinzi wa rais wa Marekani uko chini ya kitengo cha SS-Secret Service. Na Secret Service haiko chini ya CIA. Hiki KINAJITEGEMEA. Na mkuu wake huteuliwa na rais.

SS HAWAEGAMII misimamo ya kisiasa. Marais huingia na kutoka bali wao HUBAKI na kuendelea na kulinda USALAMA wa rais.
Trump alikuwa akilindwa na Private Security company iliyokuwa chini ya AFISA mstaafu wa NAVY kabla HACHAGULIWA kama rais mteule.

Na kwa sheria za Marekani HAWEZI kuchukuwa walinzi wa URUSI wala binafisi awapeleke Ikulu.
Ila akitaka family yake iwe boosted na private company huko kwake NY ni uamuzi wa nchi na vyombo husika. Ila Ikulu HAPANA!
Hata kama angetaka ASINGERUHUSIWA kwa sababu zilizo wazi.

FSB ama GRU Mashirika ya Ujasusi ya URUSI ama shirika la ulinzi la kibinafsi la Urusi RSB hawawezi KURUHUSIWA kukanyaga Ikulu ya Marekani. Hizo ni ndoto za mchana!
Itakuwa si serikali tena bali ni KAYAYA.
Huo ulikuwa ni UVUMI tu uliokuwa ukiendelezwa kumharibia jina Trump!

Mkuu nahisi hapo ulimaanisha hawawezi kuruhusiwa kufanya kazi Ikulu ya Marekani, na sio hawaruhusiwi kabisa kukanyaga pale., Ama???
 
Poor decision...angekuwa ana akili, angechukua haohao wanaotaka kumuuwa (CIA) wamlinde...hapo wangehakikisha hafi chini ya mikonoyao...Mandela pila alifanya hivyo hivyo...baada ya kuwa head of state, top security/protection ring yake ilikuwa ya wazungu/makaburu..hawakuweza kukubali afie kwenye mikonoyao...
In short, Trump hajui msemo wa waswahili.... "mtoto mpe mchawi amlee"!
Usijidanganye...kajikabidhi kwa Simba ili aogooe lawama za kukurarua...
 
Watu wengine hunifurahisha sana. FSB au GRU za Urusi ambaxo ni shirika za kijasusi haziwezi kuruhusiwa kunyaga White House.
Ni kutokufahamu tu kwa watu wengine!

Mkuu humu watu tunajifurahisha tu, ni kama tupo kwa swahili tunapiga ghahawa vile.,

By the way, hao jamaa wanakanyaga sana tu mbona? Au hujui kuwa
John Anthony Walker a US Navy Chief Warrant Officer and Communications specialist alihukumiwa kwa kuwa alikuwa recruited na Warusi na akawa anawapelelezea Warusi? Hapo wanakanyaga tu tena inasemekana kuna official mmoja katika hizi security agencies ni spy wa Warusi.
 
Trumph... asipoangalia... entire america watamgeuka..... na hata last that long...
Nadhan hawajui vizuri hao CIA..
Worthy not, muhimu kashakuwa rais wa Us, hata ingekuwa kwa mwezi ila Russia kashafanikiwa kwa hatua ya kwanza muhimu kwanzia mwalimu wa chekechea mpaka afisa wa ikulu itakuwa ni mwendo wa puppets na watakuja kuipa taabu sana Us Baadae
 
Mkuu humu watu tunajifurahisha tu, ni kama tupo kwa swahili tunapiga ghahawa vile.,

By the way, hao jamaa wanakanyaga sana tu mbona? Au hujui kuwa
John Anthony Walker a US Navy Chief Warrant Officer and Communications specialist alihukumiwa kwa kuwa alikuwa recruited na Warusi na akawa anawapelelezea Warusi? Hapo wanakanyaga tu tena inasemekana kuna official mmoja katika hizi security agencies ni spy wa Warusi.
Nakuelewa mkuu. Kati ya Taasisi hizi zote CIA, FBI, NSA, nk. Zimewahi kuwa infiltrated na majasusi wa KIGENI foreign Spies.

Apparently US Secret Service INAHESHIMIKA sana Maana HAIPENYEKEKI na HAIJAWAHI kupenyeka na Majasusi wa kigeni.
Na watu wa kitengo hicho PEKEE ndo HUPATA Presidential Treatment/ Hupewa HESHIMA anayopewa rais. Tofauti na na taasisi zingine za Kiusalama.
Huo ndo utofauti wake
 
President-elect Trump is brutally fighting against these "Deep State" CIA- led forces trying to destroy him-

who has surrounded himself with one of the most feared private mercenary forces ever known that includes at least 370 ultra- elite Russian military trained special forces.

(It gets better)



"370 ultra- elite Russian military trained special forces."...WoW!

It does get better. :)
 
Ngoja nitaweka hapa mahojiano ya CNN na Joe Clancy...director wa secret service.....

Nguruvi3

Kama nilivyoahidi....haya hapa mahojiano ya Joe Clancy yaliyofanywa na Pamela Brown wa CNN [my favorite CNN babe]. Msikie mwenyewe.



18 U.S. Code 3056 inatoa authority [na mandate] kwa USSS kumlinda rais wa Marekani na makamu wake na viongozi wengine.

Na ulinzi kwa rais wa Marekani ni mandatory. Hii nukuu hapo chini nimeitoa kwenye tovuti yao [USSS]. Angalia hapo nilipopakoleza.....

"Permanent protectees, such as the President and Vice President, have special agents permanently assigned to them. Temporary protectees, such as presidential and vice presidential candidates/nominees and foreign heads of state, are staffed with special agents on temporary assignment from U.S. Secret Service field offices. Protection for the President and Vice President of the United States is mandatory. All other individuals entitled to Secret Service protection may decline security if they choose." Source

Intaneti ni nzuri sana lakini ina ubaya wake mwingi tu. Pamoja na kwamba imewezesha utafutaji na upashanaji habari na taarifa kuwa mrahisi mno lakini pia imetengeneza tabaka la ujinga na upumbavu mwingi sana. Na hili suala niliwahi kulijadili kidogo humu na The Boss

Sasa hebu ona suala kama hili ambalo kupata taarifa zake sahihi wala si vigumu kabisa lakini wapo ambao wamelipa umaanani utadhani ni la kweli kumbe ni uzushi tu.

Trump kulindwa na USSS ni mandatory na hiyo Ijumaa tutashuhudia Super Bowl ya Secret Service in action.
 
Nguruvi3

Kama nilivyoahidi....haya hapa mahojiano ya Joe Clancy yaliyofanywa na Pamela Brown wa CNN [my favorite CNN babe]. Msikie mwenyewe.



18 U.S. Code 3056 inatoa authority [na mandate] kwa USSS kumlinda rais wa Marekani na makamu wake na viongozi wengine.

Na ulinzi kwa rais wa Marekani ni mandatory. Hii nukuu hapo chini nimeitoa kwenye tovuti yao [USSS]. Angalia hapo nilipopakoleza.....

"Permanent protectees, such as the President and Vice President, have special agents permanently assigned to them. Temporary protectees, such as presidential and vice presidential candidates/nominees and foreign heads of state, are staffed with special agents on temporary assignment from U.S. Secret Service field offices. Protection for the President and Vice President of the United States is mandatory. All other individuals entitled to Secret Service protection may decline security if they choose." Source

Intaneti ni nzuri sana lakini ina ubaya wake mwingi tu. Pamoja na kwamba imewezesha utafutaji na upashanaji habari na taarifa kuwa mrahisi mno lakini pia imetengeneza tabaka la ujinga na upumbavu mwingi sana. Na hili suala niliwahi kulijadili kidogo humu na The Boss

Sasa hebu ona suala kama hili ambalo kupata taarifa zake sahihi wala si vigumu kabisa lakini wapo ambao wamelipa umaanani utadhani ni la kweli kumbe ni uzushi tu.

Trump kulindwa na USSS ni mandatory na hiyo Ijumaa tutashuhudia Super Bowl ya Secret Service in action.

Nyani Ngabu... Thanks
 
Sijachanganya na najua vizuri kile ninachokiongea au kukiandika hapa
Ndani ya marekani kuna taasisi 6 za ulinzi na usalama
1 CIA = Central Intelligence Agency kazi yao ni kukusanya taarifa zote za kijasusi nje ya marekani kwa maslai ya marekani

2 Secret service kazi yao ni kumlinda Rais,makamu rais pamoja na familia zao pia jukumu la ulinzi wa ikulu na maeneo yote ambayo rais na makamo watakuwapo mfano Camp david hii ni Presidential Retreat pia na kudeal na Money laundering ndani ya US na nje ya US kwani usd ni fedha inayotumika dunia nzima

3 FBI = Federal Bureau of Investigation hawa ni federal police ndani ya US kumbuka US inamajimbo 50 na kila jimbo lina police wake mfano NYPD,LAPD,CHPD,etc so kuliitajika federal police wenye acces ya kuingia kila jimbo na kufanya kazi yao lakni kwa makosa ya Federal cases au makosa makubwa ya jinai pia wanahusika na ulinzi wa ndani wa balozi zote za US duniani

4 Homeland security hawa wanadeal na kufanya au kukusanya taarifa zote za kijasusi ndani ya marekani yani kifupi wanadeal na mambo ya kiusalama ndani ya US

5 DIA = Defense Intelligence Agency hawa wanadeal na mambo ya usalama wa jeshi yani military intelligence ndani ya US na Nje ya US

6 NSA = National Security Agency hili ndo shirika mama la usalama ndani ya marekani na taasisi zote madirector wate wa taasisi za usalama na ulinzi nilizozitaja hapo juu wanareport kwa diretor wa NSA na director wa NSA ndio mwenye security clearance kubwa na yeye ndio anakuwapo ktk kikao cha The President's Daily Brief (PDB) kinachofanyika kila siku saa 07:45 AM ambapo rais anapokea taarifa zote za kijasusi na mambo ya usalama na wanaohudhulia ktk kikao hicho ni Commander-in-chief,VP,defense secretary,director of NSA na National security adviser naomba niishie hapo tu .
Mkuu hiyo si kweli.
Amerika ina MASHIRIKA 17 ya KIUSALAMA (Agencies) Hizo ulizotaja ni sehemu ndogo tu ya mtandao.
 
Mkuu hiyo si kweli.
Amerika ina MASHIRIKA 17 ya KIUSALAMA (Agencies) Hizo ulizotaja ni sehemu ndogo tu ya mtandao.
Pitia thread vizuri hoja yako nilishaijibu kwenye post no 44

nimetaja hzo 6 ambazo zinajulikana kama "Big Five" (+1) kutokana na ukubwa wa majukumu yao na utendaji wao wa kazi kulinganisha na vyombo vingine
 
Pitia thread vizuri hoja yako nilishaijibu kwenye post no 44

nimetaja hzo 6 ambazo zinajulikana kama "Big Five" (+1) kutokana na ukubwa wa majukumu yao na utendaji wao wa kazi kulinganisha na vyombo vingine
Ahsante. Nitaisoma
 
Back
Top Bottom