Biden haijui marekan???🙄Best speech,
Anasema I fought hard battles and fights bcs that is what he was elected for.
Hatuchagui viongozi kwa sababu ya elimu zao, bt bcs kuna matatizo mazito ambayo yanamesumbua viongozi wengi waliopita, na hao wapya wameonesha matumaini.
Trump anakauli mbovu, na hana haiba ya mwanasiasa, bt anayajua matatizo ya wa marekani vizuri kuliko Joe biden.
Uchumi bora, ndio agenda bora ya kila kiongozi.
Joe biden, Yupo bize kuandaa lockdown zaidi na kuwatesa wamarekani, ilhali chanjo imeanza kutolewa.
. trump ananafasi ya kushinda urais huu, bcs sarpotters bado wanamtaka, na ndio maana yameitishwa maandamano nchi nzima.
Joe bidden ajue tu marekani ya sasa, si ya miaka ile ya enzi za kina Lincoln,
Marekani ina wenyewe
Kasema atarudi
Iran anasemaje ?
Kuanzisha chama yes. But kushinda ni habari nyingineYupo kwenye mchakato wa kuanzisha chama chake
Chill man. Bado hata hajaapishwa mmeshaanza kutabiri mauza uza.
Hongera Trump, history itakukumbuka kwa ushujaa wako.
History will never forget
I liked Trump kusema kweli.
Kabisa huyu nina hakika wamarekani watajuta
Amefeli wapi? na aliyefaulu kuliko wote ni nani?
Best speech,
Anasema I fought hard battles and fights bcs that is what he was elected for.
Hatuchagui viongozi kwa sababu ya elimu zao, bt bcs kuna matatizo mazito ambayo yanamesumbua viongozi wengi waliopita, na hao wapya wameonesha matumaini.
Trump anakauli mbovu, na hana haiba ya mwanasiasa, bt anayajua matatizo ya wa marekani vizuri kuliko Joe biden.
Uchumi bora, ndio agenda bora ya kila kiongozi.
Joe biden, Yupo bize kuandaa lockdown zaidi na kuwatesa wamarekani, ilhali chanjo imeanza kutolewa.
. trump ananafasi ya kushinda urais huu, bcs sarpotters bado wanamtaka, na ndio maana yameitishwa maandamano nchi nzima.
Joe bidden ajue tu marekani ya sasa, si ya miaka ile ya enzi za kina Lincoln,
Marekani ina wenyewe
Kwa kuacha kumchagua muhula wa piliKwa nini?
Kwa miaka ya hivi karibuni Clinton bado ni Rais mzuri,Clinton mpaka sasa hakuna aliemfikia
Evidence he said that??..Aliwadanganya Wamarekani Corona imedhibitwa mwaka mmoja baadaye watu 400,000+ wamepoteza kwa sababu ya hiyo Corona.
mambo yao waachie wenyewe