Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,462
- 2,855
Katika hali ya kushangaza dunia, Dinald Trump rais anaetetea kiti chake kajitangaza mshindi kabla ya matokeo ya mwisho.
Mpaka sasa Trump ana kura za wajumbe 213 huku Joe Biden akiwa na 238.
Mshindi anatakiwa kuwa na kura za wajumbe (electoral college votes) kuanzia 270 au zaidi ili mwaka 20 January aweze kula kiapo.
Trump ana advantage ya kushinda kura za wajumbe wa Florida na Ohio; in most case haya huwa ni swing states na mara nyingi huwa yana amua hatima ya uchaguzi.
Kama Trump akishindwa na alijitangaza mshindi kabla, itapelekea huko.mbele mgogoro wa nini tafsiri demokrasia na kuheshimu tasisi za kidemokrasia.