Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Kwa kifupi alichosem bwana Donald Trump ni kuwa Afrika tumeshindwa kujitawala na tunapaswa kutawaliwa tena kwa miaka mingine 100.
Bwana Trump,anaewania kuteuliwa kuwa mgombea wa uraisi wa Marekani kwa ticket ya chama cha Republican, amewaponda viongozi wa kiafrika kwa kuiba hela katika nchi zao na kuwekeza katika nchi za nje.
Pia amezishangaa nchi za kiafrika kwa kuagiza hata viberiti(matchstick) kutoka nchi za nje.
Je,unadhani bwana huyu yuko sahihi katika matamshi yake hayo?
Sema ndio au hapana.
Bwana Trump,anaewania kuteuliwa kuwa mgombea wa uraisi wa Marekani kwa ticket ya chama cha Republican, amewaponda viongozi wa kiafrika kwa kuiba hela katika nchi zao na kuwekeza katika nchi za nje.
Pia amezishangaa nchi za kiafrika kwa kuagiza hata viberiti(matchstick) kutoka nchi za nje.
Je,unadhani bwana huyu yuko sahihi katika matamshi yake hayo?
Sema ndio au hapana.
Last edited: