py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Miaka kama 4 nyuma mzee mmoja au mbaba alikuwa anatupigia story na yeye ni mshabiki wa yanga sana ,alisema frank domayo alivyotua yanga wazee walimpa baraka nyingi ndio maana akawa anang'ara sana ila alivyoanza kuleta kiburi na kulazimisha kuondoka kwenda Azam ,mzee mmoja akaenda kumpangusa goti na kumuambia haya nenda huko Azam tokea hapo Domayo akawa haishiwi na matatizo ya goti na kapotea
Bwana Ngoma namshauri rudi kwa wazee wa yanga uombe radhi na upewe baraka huko kwa Tb Joshua unapoteza muda
Hujachelewa rudi uwaombe radhi wazee wa yanga jifanye mjinga na outcome yake utaniambia sisi hizi vilabu tunavijua
Bwana Ngoma namshauri rudi kwa wazee wa yanga uombe radhi na upewe baraka huko kwa Tb Joshua unapoteza muda
Hujachelewa rudi uwaombe radhi wazee wa yanga jifanye mjinga na outcome yake utaniambia sisi hizi vilabu tunavijua