Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,871
- 10,151
Aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Italy "AZZURI",Roberto Donadoni ametimuliwa baada ya kutolewa kwenye mashindano ya EURO 2008 na Hispania
Kocha wa zamani wa timu hiyo MARCELO LIPPI ndio anapewa nafasi kubwa ya kumrithi Donadoni kwani ndie aliyeiwezesha AZZURI kubeba kombe la dunia 2006
Kocha wa zamani wa timu hiyo MARCELO LIPPI ndio anapewa nafasi kubwa ya kumrithi Donadoni kwani ndie aliyeiwezesha AZZURI kubeba kombe la dunia 2006