Don Nalimison nimerudisha Kitambulisho Cha Taifa la Tanzania(NIDA) kuanzia sasa sina Kitambulisho cha Uraia wa Tanzania

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,334
Nimekabidhi Masjala Jiji la Mwanza, na pia nimewarudishia PSSSF Kitambulisho Cha LAPF na Pesa zote wakitaka wale au wazigawane, Mimi hayanihusu.

IMG_20200804_103645_449.jpg
 
Utakuja utambue madhara ya kupoteza uraia siku za usoni leo waweza kuamua kwa hasira namna hiyo lakini uhalisia hukujileta duniani na una watu walioko ndani ya nchi wa familia yako...kila la kheri lakini inaonekana unapotea kaka...

Sahihi sio yangu.
 
Back
Top Bottom