Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,332
Nimemwandikia Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza(mwajiri) barua rasmi ya Kuacha Kazi na ajira Serikali yaani utumishi wa Umma kwa masilahi ya Taifa na Serikali ya MAGUFULI.
Wameshindwa kujua wajibu wao kama viongozi ndani ya serikali na pia kutothamini WATUMISHI wao walio chini,eti kisa nilikuwa nimefungwa ndio nisipate Haki zangu zote ikiwemo kutojibiwa barua zangu, Poa,
Mimi si wa kwanza Wala wa mwisho. Don Nalimison nimemkabidhi Mkuu wa Shule ya sekondari Mkolani Alasiri hii ili aifikishe mahala husika. Hii ni mfano wa barua yenyewe na madai yenyewe ya Don Nalimison.
Don Nalimison
+255 682 94 29 01.
E-mail: donnalimison70@gmail.com
MWANZA-Tz.
Wameshindwa kujua wajibu wao kama viongozi ndani ya serikali na pia kutothamini WATUMISHI wao walio chini,eti kisa nilikuwa nimefungwa ndio nisipate Haki zangu zote ikiwemo kutojibiwa barua zangu, Poa,
Mimi si wa kwanza Wala wa mwisho. Don Nalimison nimemkabidhi Mkuu wa Shule ya sekondari Mkolani Alasiri hii ili aifikishe mahala husika. Hii ni mfano wa barua yenyewe na madai yenyewe ya Don Nalimison.
Don Nalimison
+255 682 94 29 01.
E-mail: donnalimison70@gmail.com
MWANZA-Tz.