mamaudaku
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 706
- 465
wadau hii misalaba inayojulikana kama ankh kama waliovaa ao wasanii sio misalaba ya kikristo...So basically nlikua nataka kujua ina maana gani coz nmeiona sana kwny ancient picha za Egypt ...
Sent from my HTC_One_max using JamiiForums mobile app
Kweli hiyo mikufu ilikuwa inavaliwa sana na mafiraoon wa egypt ndio alama yao sasa tunaiga sana bila kujua maana pia inaitwa ankh ni alama ya kishetani