Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Habari wadau!
Soko la fedha halishikiki kwa Sasa inapelekea taasisi za kifedha kupandisha gharama za tozo na huduma mbalimbali ili kujiendesha na tutarajie pia Kodi kupanda na tozo mbalimbali.
Leo kwa mshituko kutoka katika mabenki rate ya kubadilisha fedha za kigeni imepanda Hadi kufika Dola moja kuuzwa 2,400 toka 2,350 iliyokuwa Dec 31, 2018.
Zimbambwe ilianza hivi tulivyoanza sisi na kwa bahati mbaya hatujui siasa za dunia zinataka Nini sie tumejifungia kubana wapinzani wa ndani hatutoki kuwabana wapinzani wa kiuchuni duniani.
Tujiandae kwa kupanda kwa Bei ya Mafuta ivi karibuni
Soko la fedha halishikiki kwa Sasa inapelekea taasisi za kifedha kupandisha gharama za tozo na huduma mbalimbali ili kujiendesha na tutarajie pia Kodi kupanda na tozo mbalimbali.
Leo kwa mshituko kutoka katika mabenki rate ya kubadilisha fedha za kigeni imepanda Hadi kufika Dola moja kuuzwa 2,400 toka 2,350 iliyokuwa Dec 31, 2018.
Zimbambwe ilianza hivi tulivyoanza sisi na kwa bahati mbaya hatujui siasa za dunia zinataka Nini sie tumejifungia kubana wapinzani wa ndani hatutoki kuwabana wapinzani wa kiuchuni duniani.
Tujiandae kwa kupanda kwa Bei ya Mafuta ivi karibuni