kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Sijui niseme huyu baba ni profitless kwetu kiukweli
.
.
Dola 2400 halafu bado yupo ikulu???rais gani wa hovyo hivi??
Magufuli achia ngazi huna faida kwetu umeua nchi kwa mambo yako yasiyoeleweka yo should go out
Haya mliokua mnamshangilia huyu jpm mko wapi???hamtutaki hata buree hana faida kwa watanzania
Asipoachia madaraka itakua kosa kubwa sana sijui mungu tulikukosea nini????
Oneni dola ilivyopanda halafu mnamwita rais wa wanyonge!!!!!!!!!!!!!!
Sehemu nyingi za kubadilisha fedha wameanza kukata 2400 kwa dola moja kuna watu wanakimbilia google kuangalia mnaonunua mitandaoni na baadhi ya maduka na sites nyie ni mashahidi sehemu nyingi mno dola moja ni 2400
.
.
Dola 2400 halafu bado yupo ikulu???rais gani wa hovyo hivi??
Magufuli achia ngazi huna faida kwetu umeua nchi kwa mambo yako yasiyoeleweka yo should go out
Haya mliokua mnamshangilia huyu jpm mko wapi???hamtutaki hata buree hana faida kwa watanzania
Asipoachia madaraka itakua kosa kubwa sana sijui mungu tulikukosea nini????
Oneni dola ilivyopanda halafu mnamwita rais wa wanyonge!!!!!!!!!!!!!!
Sehemu nyingi za kubadilisha fedha wameanza kukata 2400 kwa dola moja kuna watu wanakimbilia google kuangalia mnaonunua mitandaoni na baadhi ya maduka na sites nyie ni mashahidi sehemu nyingi mno dola moja ni 2400