Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,587
Kazi na bata ndo suluhisho pekee la hayo yote.
Ya mungu mengi unaweza ondoka Wewe yeye ukamuacha ujue??Utaondoka wewe Magu mpaka 2025
Ada Gaddaf alikiwa na wafuasi na wapambe ila walipoona hali imekuwa ngumu wengine waliepusha mbawa zao.aondoke kwa lipi wewe unamiliki dola ngapi nyumbani kwako fanya kazi acha kelele.........ni maneno niliyomwambia mfanya kazi wangu baada ya kuwa tumbo limeshiba
Haaaa a haaaa haaaa jamani nimechekaSamahani mkuu.
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Duh tunakoelekea siyo kuzuri. Kama wanajeshi waliojifunza mambo ya mizinga waingie na kwenye finance basi tutaisoma hiyo vizuri.Kwani wanajeshi wameshindwa kusimamia maduka ya kubadili fedha?
Penye mamba 10 lazima na likenge limoja limoUtaondoka wewe Magu mpaka 2025
Ila mkuu, pamoja na yote hayo Rais hana uwezo wowote wa kimaamuzi kwenye currency exchange, ni hiyo central bank ndo inafanya manipulation ya value ya pesa yetuSijui niseme huyu baba ni profitless kwetu kiukweli
.
.
Dola 2400 halafu bado yupo ikulu???rais gani wa hovyo hivi??
Magufuli achia ngazi huna faida kwetu umeua nchi kwa mambo yako yasiyoeleweka yo should go out
Haya mliokua mnamshangilia huyu jpm mko wapi???hamtutaki hata buree hana faida kwa watanzania
Asipoachia madaraka itakua kosa kubwa sana sijui mungu tulikukosea nini????
Oneni dola ilivyopanda halafu mnamwita rais wa wanyonge!!!!!!!!!!!!!!
Sehemu nyingi za kubadilisha fedha wameanza kukata 2400 kwa dola moja kuna watu wanakimbilia google kuangalia mnaonunua mitandaoni na baadhi ya maduka na sites nyie ni mashahidi sehemu nyingi mno dola moja ni 2400
Hachoki yanii...Awe mwanaharakati wa kweli afungue page ya insta awe kama Mange...Jamaa daily na comment yake hyo hyo
Why isipande thamani inazidi kushuka???? Wewe huoni kuna factor za muhimu za kiuchumi zinafanya pesa ishuke au kupanda thamani...Ila mkuu, pamoja na yote hayo Rais hana uwezo wowote wa kimaamuzi kwenye currency exchange, ni hiyo central bank ndo inafanya manipulation ya value ya pesa yetu
Utaondoka wewe Magu mpaka 2025
Yaani ana point,halafu hujamuelewa?duh....acha dollar ipandeUna point nzuri, ila ulivyoandika mi hata sijakuelewa. Ila nadhani Kuna kitu unataka kusema. Andika vizuri chief.
Umesahau pesa zao za mifuko ya jamiiWatumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Sidhani kama anakosa hate lepe la usingizi kwa issue ya shilingi kuporomoka. So, suala la kuachia madaraka halipo na halitatokeaAsipoachia madaraka itakua kosa kubwa sana sijui mungu tulikukosea nini????!
WeweNyie ni wa kufunga jela tu ...kwa upotoshi huu View attachment 957060