Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia inakula hasara, has no capacity to pay! Tumedanganywa?

Rais hapaswi kulaumiwa kwenye hili na anahitaji kutiwa moyo na watanzania wote bila kuingiza itakadi za vyama. Kwa hakika amepambana lakini kuna sehemu tunakwama, hasa kwenye utaalamu wa mambo haya ya madini na mikataba mibovu ambayo inasimamiwa kimataifa na ilishaingiwa huko nyuma.

Naamini Kinu cha uchenjuaji makinikia kitakua suluhisho la huu wizi wa mchana, rais aendelee kubana hayo mkontena haiwekani muuza korosho ajiendeshe kwa kuuza maganda ya korosho badala ya korosho yenyewe. Tumeibiwa sana.

Maana yako ni kuwa, atiwe moyo (encouraged) ili aendelee "kupuyanga" kuufanya "ujinga" kwa sababu ya "mihemuko " yake tu, au siyo?

Mimi sipo tayari kwa hilo. Bali namtia moyo kujihakikishia kupata elimu zaidi juu ya namna bora yenye akili kushughulikia ishu ngumu na nyeti kama hiyo!!
 
Hakuna malipo nje ya mkataba,
Cha muhimu ni srikali kuweka wazi nikataba ijadiliwe kwa uwazi ili kuondoa au kupunguza mambo ya asilimia kumi. Botswana na Ghana waliweza kutikana na uwazi na uzakendo was mamlaka husika (parliament na rais)
Pia ni lazima wabunge na watz wore tuacge siasa za kubaguana kwa vyama Bali tufanye siasa za hoja kuhusu rasilimali zetu. I
Haiwezekani wabunge wanazomeana kisa tu mcgango umetolewa na mpinzani
Hatustahili/tunastahili kulipwa kutokana na mikataba na si mazungumzo ya kupata public support
Nakubaliana na wewe kwenye kujenga mustakabali mmoja wa kitaifa,kila upande ujishushe,wawe kitu kimoja washauriane,hapo tutafika. Nionavyo mimi haya mambo ya kutunishiana misuli bila kukaa na kutafuta mustakabali wa pamoja hayana tija kwa kila upande kwa Taifa hili. Nadhan tunakosa baraka za Mungu kwa mtengano wetu usio wa lazima.
 
Usichokielewa au unachokifumbia macho ni kuwa hizo data ulizotumia ni sehemu ya udanganyifu wa makampuni ya madini duniani! Hawajawahi kuweka wazi data halisi za uvunaji na faida ya dhahabu!!! Nikuulize kitu! Mtendaji wa barick alikuja DSM na ndege binafsi lakini miaka yote hapa nchini hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida zaidi ya tozo ndogo ndogo kama mirahaba! Miaka yote wanadai wanapata hasara, kwa nini hawafungashi virago? Mbona wanahisa wanapeana gawio kila mwaka? Mbona wanatembelea ndege binafsi ili kutetea mgodi unaozalisha hasara? Ukweli ni kwamba tunapigwa sana!!!
Tunapigwa sana ni wimbo mpya wenye chorus ya zamani.Najiuliza tuna miaka miwili sasa tangu tuanze kuimba hii nyimbo je hatua zilizochukuliwa zina tija kiasi gani?
 
Kwa hiyo Kwa taarifa hii ya Pasco ndio unaamini hatutalipwa?
Kweli naamini maneno ya Trump
mkuu,mimi naamini tutalipwa siku moja,nauliza tu,hivi kwa uwezo wako wa kujua mambo nyeti kuna kipengele cha kuwapo kwa riba katika hayo malipo incase wakiwa wanachelewa kulipa??maana wao mikopo yao mingi kama si yote wanaweka riba sisi tulikumbuka kuweka kipengele cha riba?hebu nusanusa mkuu ulete mrejesho
 
Rais hapaswi kulaumiwa kwenye hili na anahitaji kutiwa moyo na watanzania wote bila kuingiza itakadi za vyama. Kwa hakika amepambana lakini kuna sehemu tunakwama, hasa kwenye utaalamu wa mambo haya ya madini na mikataba mibovu ambayo inasimamiwa kimataifa na ilishaingiwa huko nyuma.

Naamini Kinu cha uchenjuaji makinikia kitakua suluhisho la huu wizi wa mchana, rais aendelee kubana hayo mkontena haiwekani muuza korosho ajiendeshe kwa kuuza maganda ya korosho badala ya korosho yenyewe. Tumeibiwa sana.
....The late Nyerere alishauri yasichimbwe mpaka pale tutakapokuwa na capacity ya kutosha but tukamuona lofa...
 
Nakumbuka wakati nipo mwanza siku moja kabla ya kamati kumkabidhi Pogba taarifa ya kupika kuna gari lililotoka ofisi ya RC lilikuwa likitangaza na kuhimiza wananchi waende kwenye mabaa kuangalia tukio hilo ( ikumbukwe kuna marufuku ya kwenda bar ndani ya saa za kazi lakini siku hiyo ruksa hata kupiga lager)!. Tatizo la Magu anapenda kiki (ujiko) hata kwa jambo la kipuuzi! mpaka leo hakuna hata sumni nyekundu tuliyoipata baada ya kupoteza muda
 
Back
Top Bottom