Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,893
- 159,397
Hiyo figure ameitamka mwenyekiti wa Simba Alhaj Ismail Aden Rage akiongea na waandishi wa habari akimtaka mchezaji wa Rwanda aliyesajiliwa na Simba azirudishe, zikiwa ni gharama za mawakili, gharama za usafiri na hela aliyopewa mchezaji huyo