Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Itakuja kuanzishwa huko mbele ya safari wakati wa utawala wa Mpinga Kristo. Wakati huo kutakuwa na sarafu moja na dini moja dunia nzima. Ukitaka kujua kwa undani juu ya haya soma Biblia, Kitabu cha Ufunuo wa Yohana.Ndio nauliza, ni kwanini isianzishwe? Au huelewi maana ya ‘Kuanzishwa’, jaribu kulegeza ubongo ndugu, usiwe rigid hivyo