Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Kila siku kukicha shilingi yetu inazidi kuporomoka kwa kasi ya ajabu.
Leo Dola moja ya Marekani imefika Sh1750 ya Tanzania, mwenye majukumu ya Uchumi wetu ni Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Benno Ndulu.
Hivi serikali inafanya juhudi za makusudi kuokoa hii hali au ndio tunaelekea kama Zimbambwe, kwenda sokoni na kapo la hela.
Wadau hii hali inakuaje
Kila siku kukicha shilingi yetu inazidi kuporomoka kwa kasi ya ajabu.
Leo Dola moja ya Marekani imefika Sh1750 ya Tanzania, mwenye majukumu ya Uchumi wetu ni Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Benno Ndulu.
Hivi serikali inafanya juhudi za makusudi kuokoa hii hali au ndio tunaelekea kama Zimbambwe, kwenda sokoni na kapo la hela.
Wadau hii hali inakuaje