Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 13,992
- 20,283
Kamati ya Bunge masuala ya Afya iliypkaa dodoma hivi karibuni , kupitia mbunge wake , ambaye pia ni daktari, imesema tiba ya nguvu za kiume ni vyakula na si madaewa, alkasusu, wala mengineyp yatajwayo.
Wanawake watakiwa kuwacha wanaume wapumzike kidogo baada ya bao la kwanza, maana mwanaume anatumia nguvu nyingi sawa na damu dumu la lita tano.
MBUNGE DKT. NTARA AFUNGUKA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME, ATOA MAELEKEZO CHAKULA CHA KUTUMIA KWA MWANAUME