Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,262
Nimemtafakari sana Harrison Mwakyembe, kwamba yeye kwakuwa ana degree 4 basi hataki kusemeshwa wala kukosolewa na walioishia tu darasa la 7.
Sasa swali langu: Akifa atazikwa na nani? Kaburi lake watachimba Madaktari wa Falsafa kama yeye pekee? Na kwa hakika Mwakyembe alishapatwa na msiba nyumbani kwake, nani walimzika kipenzi chake?
Lakini pia wapiga kura wa Mwakyembe kule Kyela, watu wanaompa kula yake na kiburi chote hiki alicho nacho wana elimu gani? Wote ni Madaktari wa Makaratasi Kama yeye?
Huyu kweli ndiyo maana alikana thesis yake kuhusu kuunga mkono hoja ya serikali 3, Daktari mwingine wa majalalani.
Sasa swali langu: Akifa atazikwa na nani? Kaburi lake watachimba Madaktari wa Falsafa kama yeye pekee? Na kwa hakika Mwakyembe alishapatwa na msiba nyumbani kwake, nani walimzika kipenzi chake?
Lakini pia wapiga kura wa Mwakyembe kule Kyela, watu wanaompa kula yake na kiburi chote hiki alicho nacho wana elimu gani? Wote ni Madaktari wa Makaratasi Kama yeye?
Huyu kweli ndiyo maana alikana thesis yake kuhusu kuunga mkono hoja ya serikali 3, Daktari mwingine wa majalalani.