Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Kwanza Roma ana degree 1,Umegeuza kauli ya mwakyembe kwa manufaa yako
Kauliza mtu wa darasa la saba,utamshauri nini mtu mwenye degree 4 kama yeye?
Chukulia tu mfano wewe na darasa lako la 7,halafu unabishana kuhusu sheria na Phd holder
Pili mwananchi yoyote anastahili kutoa maoni/kukosoa/kushangilia serikali bila kuzingatia kiwango cha elimu alichonacho.