Dokta Kitila Mkumbo usikimbie hoja mzee wangu

Mkuu Sokomoko:
Nadhani kwa sisi wengine vigezo vilikuwa ni nini, umetuchanganya kidogo. Umeandika sana lakini naona unazungumzia pointi mbili tu kama msingi wa malalamiko yako. Yaani kukaa muda mrefu ndani ya chama na kushika nyadhifa ndani ya BAWACHA.
Hebu fanya uchambuzi mzuri kwa kuvitaja vigezo vyote vilivyotumika na jinsi huyo mama alivyoonewa katika kila kigezo na jinsi ambavyo hao waliochaguliwa walivyopendelewa kwa kutokukidhi hivyo vigezo. Do that research and then come up for discussion, otherwise "dont talk". maana wengine tutaona kuwa either una interest ambayo hujai-declare au unatafuta huruma ya kuchaguliwa kwa vigezo viwili tu.
Na hapa naomba nitoe angalizo kuwa ungeweza pia kutoa hoja ya kutokubaliana na vigezo vilivyotumika ili tujadiliane na tuione mantiki yako kwa lengo la kujenga CDM na mustakabali wa nchi yetu iliyofanywa masikini na mafisadi.
 
Mkuu Sokomoko:
Nadhani kwa sisi wengine vigezo vilikuwa ni nini, umetuchanganya kidogo. Umeandika sana lakini naona unazungumzia pointi mbili tu kama msingi wa malalamiko yako. Yaani kukaa muda mrefu ndani ya chama na kushika nyadhifa ndani ya BAWACHA.
Hebu fanya uchambuzi mzuri kwa kuvitaja vigezo vyote vilivyotumika na jinsi huyo mama alivyoonewa katika kila kigezo na jinsi ambavyo hao waliochaguliwa walivyopendelewa kwa kutokukidhi hivyo vigezo. Do that research and then come up for discussion, otherwise "dont talk". maana wengine tutaona kuwa either una interest ambayo hujai-declare au unatafuta huruma ya kuchaguliwa kwa vigezo viwili tu.
Na hapa naomba nitoe angalizo kuwa ungeweza pia kutoa hoja ya kutokubaliana na vigezo vilivyotumika ili tujadiliane na tuione mantiki yako kwa lengo la kujenga CDM na mustakabali wa nchi yetu iliyofanywa masikini na mafisadi.


Hata kama ungekuwa wewe ungeumia kuona unatumika kuwapandisha watu daraja zisizo stahiki mfano Owenya unajua kabisa ni binti wa ndesamburo lucy ni mkwe wa ndesamburo hawa watu kwa kanuni mlizojiwekea walipata kura chache wakapitishwa wewe mwenye nyingi wakaku"bashe" lazima ikuume unless uwe zuzu.

Tuache utani Chintu utumike weeeeh yaani kama simu kila mara unasema insert sim card halafu watu kama kina Joyce Mukya wanatia timu halafu wanakutimulia vumbi! Basi wewe utakuwa una moyo wa m itume waliopigwa na kutukanwa wakaona poa tu!
 
Vibaraka wako wengi kuna watu wametumwa humu

Wewe ndio ulietumwa tupo tunabarizi toka aka 2008

Join Date : 15th June 2011
Posts : 13
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
 
Kama kweli Dr. umefanya hv ulichemka sana na inabidi uwaombe radhi watanzania wote wapenda mabadilliko......kinyume chake dhambi hiyo itakutafuna tu siku zijazo.
 
Hata kama ungekuwa wewe ungeumia kuona unatumika kuwapandisha watu daraja zisizo stahiki mfano Owenya unajua kabisa ni binti wa ndesamburo lucy ni mkwe wa ndesamburo hawa watu kwa kanuni mlizojiwekea walipata kura chache wakapitishwa wewe mwenye nyingi wakaku"bashe" lazima ikuume unless uwe zuzu.

Tuache utani Chintu utumike weeeeh yaani kama simu kila mara unasema insert sim card halafu watu kama kina Joyce Mukya wanatia timu halafu wanakutimulia vumbi! Basi wewe utakuwa una moyo wa m itume waliopigwa na kutukanwa wakaona poa tu!
hebu tupe tafsiri ya BMW ya CCM,Baba Jakaya Mrisho Kikwete,Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete na usisahau Miraji wanaongoza serikali ya Tanzania
Halafu ndugu wa damu wa Jakaya -Kawambwa, waziri wa Elimu Hawa Ghasiawaziri Utumishi , Kandoro ,Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Bernard Mbembe Mtoto wa Mama yake wa Kambo Jakaya malizia na wengine unaowafahamu ,
 
unaonaje Sokomoko na wewe ukafungua chama chako halafu ukawapanga wanawake wa viti maalumu unao wataka

Mkuu do you mean ndio alichokifanya Dr Kitila? Basi kazi ipo.......
 
hebu tupe tafsiri ya BMW ya CCM,Baba Jakaya Mrisho Kikwete,Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete na usisahau Miraji wanaongoza serikali ya Tanzania
Halafu ndugu wa damu wa Jakaya -Kawambwa, waziri wa Elimu Hawa Ghasiawaziri Utumishi , Kandoro ,Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Bernard Mbembe Mtoto wa Mama yake wa Kambo Jakaya malizia na wengine unaowafahamu ,

Maudhui ya CDM ni kujipambanua kwa kila lililo na uovu na sio kucopy maovu ya chama kingine japo kwa kiasi ili wakiulizwa watoe ya chama kilichowazidi kwa uovu! CDM watu especial vijana wanaamini kuwa hakina harufu yoyote ya uozo na ili iwe hivyo ni vema isifuate ya vyama vingine na kuleta hoja mbona kina fulani wanahivi na vile.

Mfano huwezi kutafuna pesa za msaada paundi milioni mbili halafu useme mbona CCM wamekula za epa! Huu ujuha kwa hili la pesa za msaada paund milioni mbili John Mnyika analifahamu vizuri.
 
Maudhui ya CDM ni kujipambanua kwa kila lililo na uovu na sio kucopy maovu ya chama kingine japo kwa kiasi ili wakiulizwa watoe ya chama kilichowazidi kwa uovu! CDM watu especial vijana wanaamini kuwa hakina harufu yoyote ya uozo na ili iwe hivyo ni vema isifuate ya vyama vingine na kuleta hoja mbona kina fulani wanahivi na vile.

Mfano huwezi kutafuna pesa za msaada paundi milioni mbili halafu useme mbona CCM wamekula za epa! Huu ujuha kwa hili la pesa za msaada paund milioni mbili John Mnyika analifahamu vizuri.
Double standard kama hivyo ndivyo tudadavulie pesa ya kagoda iliyomuingiza kaka yako Jakaya Kikwete kwenye ulingo,manake uma kotekote na fedha alizopokea aliposign mukataba wa , IPTL,Barrick tuende kwa hatua kote huko tutafika
 
Double standard kama hivyo ndivyo tudadavulie pesa ya kagoda iliyomuingiza kaka yako Jakaya Kikwete kwenye ulingo,manake uma kotekote na fedha alizopokea aliposign mukataba wa , IPTL,Barrick tuende kwa hatua kote huko tutafika

Nimekwisha eleza sababu za huyu ameua na mimi ndio maana nimeua hazikubaliki eti kwa kuwa wewe umeua mtu mmoja na yeye kaua watu kumi!
 
Mimi ni Pro CDM wa kweli hata kama sina kadi , lakini kwa hili "NO" na si kwa kupitia hili jukwaa tu la hasha hii ni tangu wakati wa mchakato mzima wa kupata uwakilishi (Viti Maalum-CDM). I remember Dr. Slaa alikuwa na dhamira ya dhati kabisa katika hili, either kwa makusudi ya watu wachache walimpotosha kuweza kulisimamia vyema. Kutenguliwa kwa matokeo ya mchakato wa kwanza kwa madai vigezo havikuzingatiwa huu ulikuwa ni udhaifu mwingine ambao kimsingi CDM walipaswa kutubu/kuwajibika kwa wanachama na wapenzi wao, si kwa kukosa umakini pekee, bali uzembe na kutowajibika kwa walipewa dhamana kuongoza chama. Dr. Slaa kwa mdomo wake alitamka moja ya sifa za mwakilishi itakuwa ni mchango aliotoa kwa chama, uwezo () na n.k. Sasa swali ni je. Wote walioteuliwa kwa nafasi za ubunge wa viti maalum walistahili kulingana na sifa zao? Mbona kumeoneka dalili za personal interests ambazo zimekwenda mbali zaidi kufikia family level?....mifano kila mmoja wetu anaifahamu vyema.
Nadhani umefika wakati ambao tunahitaji kuwajenga wanawake wenye nia ya dhati katika kuwatumikia wananchi kupitia siasa, wajiandae vyema kuweza kugombea nafasi za uwakilishi kupitia sanduku la kura na si vinginevyo, personallly moja ya vitu ambavyo leo hii tukizungumzia mabadiriko ya katiba ya nchi ni pamoja na kuondoa hili dudu linaitwa "VITI MAALUM" sioni tija wala mantinki ya kuwepo kwake. Kama kuna wanawake wanaweza kugombea majimboni na kushinda mfano HALIMA MDEE, Pro. Anna Tibaijuka etc (Kiti ambacho kwangu mimi dhana ya usawa inakuwa imejikita), kwanini wengine wasiweze basi. Hivyo cha msingi ni kuwajengea uwezo wa hao tunaowapa zawadi za hivi viti maalum waweze kusimama majimboni waombe kura kwa wananchi. Kwa msingi huo huo itaweza kujenga uwakilishi sahihi na ulio makini tofauti na ilivyo sasa ambapo tuna walio wengi wasiojua lolote zaidi ya kushangaa na kupiga makofi kishabiki......HITIMISHO: Hili litasaidia kwa kiasi kikubwa kudhoofisha nguvu ya kupitisha hoja za serikali ya chama tawala kwa msingi ya "NDIYO" hata kama hoja ni dhaifu na haina maslahi kwa nchi na wananchi kwa ujumla.
 
Nimekwisha eleza sababu za huyu ameua na mimi ndio maana nimeua hazikubaliki eti kwa kuwa wewe umeua mtu mmoja na yeye kaua watu kumi!
wewe ni mnafiki sana Rita mlaki ameingia kwa tiketi ya NGO ,NGos zipi anaziwakilisha, TANGO walimjia juu CCM haijajibu mpaka leo au Anna Abdallah viti maalumu wana CCM kibao walipinga ujinga hata mwenyekiti wao wa mkoa wa DSM Janeth alisemea hilo kwanini unaspecial interest na CDM badala ya CCM hebu tueleze wamepeleka mahesabu kwa msajili ya uchaguzi hee bilioni hamsini anatumia Kikwete peke yake
 
Kitila alichemsha big time na model yake ya uchaguzi wa viti maalum aliyoiita ya kisayansi. Hilo lipo wazi.
 
Mimi ni Pro CDM wa kweli hata kama sina kadi , lakini kwa hili "NO" na si kwa kupitia hili jukwaa tu la hasha hii ni tangu wakati wa mchakato mzima wa kupata uwakilishi (Viti Maalum-CDM). I remember Dr. Slaa alikuwa na dhamira ya dhati kabisa katika hili, either kwa makusudi ya watu wachache walimpotosha kuweza kulisimamia vyema. Kutenguliwa kwa matokeo ya mchakato wa kwanza kwa madai vigezo havikuzingatiwa huu ulikuwa ni udhaifu mwingine ambao kimsingi CDM walipaswa kutubu/kuwajibika kwa wanachama na wapenzi wao, si kwa kukosa umakini pekee, bali uzembe na kutowajibika kwa walipewa dhamana kuongoza chama. Dr. Slaa kwa mdomo wake alitamka moja ya sifa za mwakilishi itakuwa ni mchango aliotoa kwa chama, uwezo () na n.k. Sasa swali ni je. Wote walioteuliwa kwa nafasi za ubunge wa viti maalum walistahili kulingana na sifa zao? Mbona kumeoneka dalili za personal interests ambazo zimekwenda mbali zaidi kufikia family level?....mifano kila mmoja wetu anaifahamu vyema.
Nadhani umefika wakati ambao tunahitaji kuwajenga wanawake wenye nia ya dhati katika kuwatumikia wananchi kupitia siasa, wajiandae vyema kuweza kugombea nafasi za uwakilishi kupitia sanduku la kura na si vinginevyo, personallly moja ya vitu ambavyo leo hii tukizungumzia mabadiriko ya katiba ya nchi ni pamoja na kuondoa hili dudu linaitwa "VITI MAALUM" sioni tija wala mantinki ya kuwepo kwake. Kama kuna wanawake wanaweza kugombea majimboni na kushinda mfano HALIMA MDEE, Pro. Anna Tibaijuka etc (Kiti ambacho kwangu mimi dhana ya usawa inakuwa imejikita), kwanini wengine wasiweze basi. Hivyo cha msingi ni kuwajengea uwezo wa hao tunaowapa zawadi za hivi viti maalum waweze kusimama majimboni waombe kura kwa wananchi. Kwa msingi huo huo itaweza kujenga uwakilishi sahihi na ulio makini tofauti na ilivyo sasa ambapo tuna walio wengi wasiojua lolote zaidi ya kushangaa na kupiga makofi kishabiki......HITIMISHO: Hili litasaidia kwa kiasi kikubwa kudhoofisha nguvu ya kupitisha hoja za serikali ya chama tawala kwa msingi ya "NDIYO" hata kama hoja ni dhaifu na haina maslahi kwa nchi na wananchi kwa ujumla.


Hakuna anaeichukia CDM labda awe mwendawazimu ila inakera pale kunapokuwa na kosa ukalisema watu wakakujeli na kukutolea maneno ya kashifa na kufikia hata kusema mbona CCM na wao wanafanya?

Nachukia tabia ya kuifanya CCM mtoto wa kambo kuisakama hata kama kuna zuri imefanya (mathalani) lakini pale cdm inapoteleza watu wakaitetea. Mara nyingi hii ni tabia ya mzazi anaekaa na mwanae na mtoto wa mwenzie (kambo) huwa anamdekeza mwanae na kila analofanya ni sawa ili aonyeshe mapenzi yake kwa mwanae baadae akiharibika anamtafuta mchawi.

Wenye uelewa ni wachache sana humu jf wenye uwezo wa kusoma hoja/post mwanzo mpaka mwisho wengi wanachangia hoja kwa kutumia "headings" na ndipo mwelekeo wa hoja hupotea.

Tuna safari ndefu sana lakini safari yoyote huanza kwa hatua ya kwanza na tulipo sio pakudharau.....
 
Kitila alichemsha big time na model yake ya uchaguzi wa viti maalum aliyoiita ya kisayansi. Hilo lipo wazi.

Kweli wewe ni mwalimu, ila mwalim kwanini watu wanapenda kusifia hata kwenye makosa? je wanajenga au wanapomoa? I mean sifa za kijinga zina faida gani? Najua wewe ni mwalim na ni mtu muhimu sana kwenye jamiii nini mawazo yako?
 
Katafute uji unywe mtoto huna la maana

Tunataka mapinduzi, wa viongozi wajuao,
Wanaoheshimu kazi, za wananchi wenzao,
Wasotia pingamizi,habari wazitoao,

Hatutaki mashauzi,majuha tulionao,
Wadhanio uongozi,ni kunyanyasa wenzao,
Tunataka chapakazi,popote wajitumao,

Mahakama za wajuzi, sikia chetu kilio,
Waandishi na watunzi,kwa sasa tukitoao,
Tutashndwa fanya kazi, kwa vitishi na matao,

Yafanyeni maamuzi, hawa si watufaao,
Nchi wapaka masinzi,kwa wote watujuao,
Twaonekana washenzi,na sheria si tujuao,

Uongozi kubwa kazi, waulize wajuao,
Usidhani ni viyoyozi,maslahi na mafao,
Cheo ni usimamizi,uletao mafanikio,

Cheo ni uangalizi, wa wale uongozao,
Na ukubwa ni malezi, yaje bora matokeo,
Ukuu si maonezi, kwa cheo uwazidio,

Utumwa hatuuwezi, miaka hii iwayo,
Wafalme si majazi, wala si tuwatakao,
Hatutaki viongozi, watu wanyanyasao,
 
Kweli wewe ni mwalimu, ila mwalim kwanini watu wanapenda kusifia hata kwenye makosa? je wanajenga au wanapomoa? I mean sifa za kijinga zina faida gani? Najua wewe ni mwalim na ni mtu muhimu sana kwenye jamiii nini mawazo yako?

Huwezi kumlazimisha mtu aamini kile unachoamini wewe hata kama upo sahihi. Unachoweza kufanya ni kuusema ukweli huo, kisha ukawaacha watu waamue wenyewe. Na hiyo ndio demokrasia.

Suala la model ya Dr.Mkumbo limeshajadiliwa sana humu, naye mwenyewe aliingia kwenye majadiliano kidogo. Kwa hiyo hapa ni kurudisha tu majadiliano yaliyopita pia na ndio maana Dr. hawezi kuja hapa kuchangia tena.
 
Tunataka mapinduzi, wa viongozi wajuao,
Wanaoheshimu kazi, za wananchi wenzao,
Wasotia pingamizi,habari wazitoao,

Hatutaki mashauzi,majuha tulionao,
Wadhanio uongozi,ni kunyanyasa wenzao,
Tunataka chapakazi,popote wajitumao,

Mahakama za wajuzi, sikia chetu kilio,
Waandishi na watunzi,kwa sasa tukitoao,
Tutashndwa fanya kazi, kwa vitishi na matao,

Yafanyeni maamuzi, hawa si watufaao,
Nchi wapaka masinzi,kwa wote watujuao,
Twaonekana washenzi,na sheria si tujuao,

Uongozi kubwa kazi, waulize wajuao,
Usidhani ni viyoyozi,maslahi na mafao,
Cheo ni usimamizi,uletao mafanikio,

Cheo ni uangalizi, wa wale uongozao,
Na ukubwa ni malezi, yaje bora matokeo,
Ukuu si maonezi, kwa cheo uwazidio,

Utumwa hatuuwezi, miaka hii iwayo,
Wafalme si majazi, wala si tuwatakao,
Hatutaki viongozi, watu wanyanyasao,
Tungo nzuri iliyosimama haya sasa mpelekee kakayo Mh.Raisi Jakaya aka Vasco dagama aka Mtambo hakika akifuata uliyoandika nchi itasimama
 
Vigezo vya uteuzi wa wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA 2010-2015
Na
Kigezo
Alama
1.
Elimu
10
1.1
Shahada ya Uzamivu (PhD)
10
1.2
Shahada ya Uzamili (Masters Degree)
8
1.3
Shahada ya Kwanza/Stashahada ya Juu (Bachelors Degree/Advanced Diploma)
6
1.4
Stashahada/Kidato cha Sita (Diploma/Form Six)
4
1.5
Astashahada/Kidato cha Nne (Certificate/Form 4)
2
1.5
Darasa la Saba (Std VII)
1
1.6
Chini ya Darasa la Saba (Below Std VII)
0
2
Uzoefu wa uongozi wa kisiasa
10
2.1
Uzoefu wa kibunge
10
2.2
Uzoefu kitaifa (BAWACHA, n.k)
8
2.3
Uzoefu katika ngazi ya mkoa/aliyewahi kuchaguliwa kuwa diwani/aliyewahi kuchaguliwa katika ngazi ya serikali ya mtaa/kijiji
6
2.4
Uzoefu katika ngazi ya wilaya/aliyewahi kuwa diwani wa viti maalumu
4
2.5
Uzoefu katika ngazi ya kata
2
2.6
Uzoefu katika ngazi ya kijiji/tawi
1
3
Uzoefu wa uongozi nje ya siasa (km: katika asasi za kiraia, vyama vya wafanyakazi, taasisi za serikali, n.k.)
5
4
Mgombea ubunge katika jimbo la uchaguzi
10
4.1
Katika jimbo la rangi nyekundi (Red Constituency)
10
4.2
Katika jimbo la rangi ya bluu (Blue Constituency)
8
4.3
Katika jimbo la rangi nyeupe (White Constituency)
6
4.4
Katika jimbo vumbi (Dust Constituency)
2
5
Mchango wa hali na mali katika operations za chama na kampeni zinazoendelea
10
5.1
Daraja la I
10
5.2
Daraja la II
8
5.3
Daraja la III
6
5.4
Daraja la IV
4
5.5
Daraja la V
2
6
Umri katika chama
5
6.1
Zaidi ya miaka 10
5
6.2
Miaka 5-10
4
6.3
Miaka 2-4
3
6.3
Chini ya miaka 2
2
6.4
Chini ya mwaka 1
1
Jumla ya Alama
50
 
Back
Top Bottom