Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKuu unafahamu kireno wewe? Vinginevyo lugha yaweza kuwa barrier kwako.
Njoo ufanye survey mkuu,lugha sio ishu kivile.issue capital yako tu.
Speedy,umetupa data nzuri,ila umeandika very spidy,pungunza mwendo kasi ktk kuandika.
MtAji wa dola ngapi unatosh a kwa faida ya dola elfu 3 kwa mwezi
Mkuu umeongea kweli kuhusu mozambigue me mwenyewe nipo huku toka mwezi wa kwanza... Kweli askari wasumbufu ila ukiwa na bijeti hawana usumbufu
Ukitaka kuja kufungua jijini Maputo inatakiwa utengeneze mikate ya hapa Msumbiji,ukitengeneza mikate ya slesi utakula mwenyewe sababu ya bei yako.ningekuwa na picha ya huo mkate ningekubandikia hapa..Nina Dola 1500 Capital ,natafuta Partner tuzame wote Moza next year.preferably tuanze na bizness ya mikate kwa kuwa na bekari
Ukitaka kuja kufungua jijini Maputo inatakiwa utengeneze mikate ya hapa Msumbiji,ukitengeneza mikate ya slesi utakula mwenyewe sababu ya bei yako.ningekuwa na picha ya huo mkate ningekubandikia hapa..
je unapovuka mpaka kutoka tz kwenda mozambique na mizigo mpakani hawasumbui? Ni vibali gani vinahitajika ili mizigo ipite?