shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,896
Ila alifaidi aiseeHuyu mvulana alijichanganya tu kwa lile dude na tako lake baya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila alifaidi aiseeHuyu mvulana alijichanganya tu kwa lile dude na tako lake baya
Tatizo lako bro kitu kimoja ambacho kwa asiyekujua ataogopa sana, you wanna talk about quantum physics? Let's talk about itKuamini Mungu na kuamini uchawi zote ni imani sawa tu kwa sababu zote ni imani za supernatural forces.
Mimisitaki kuamini, nataka kujua.
Nasoma equations za Paul Dirac za Quantum Physics, naangalia Schrodinger's Cat experiment, nangalia double slit experiment,naangalia habari za kuunganisha Einstein's Relativity na Quantum Physics.
That is far more interesting to me than any God or uchawi.
Hahaha we unatabia kama zangu mkuuYaani mwanamke akitishia tu hapohapo nakanyagia eksleta....raha sana kuachana kuliko hata mnapoanza dating
Hahahahukute mleta uzi huu ni baba wa watoto watatu.. duh!
Bila shaka utakuwa HB km mi.maana sura mbaya hana ujasiri wa kufanya hivyo maana hawez kupata manzi ingineHahaha we unatabia kama zangu mkuu
Hahaha.Bila shaka utakuwa HB km mi.maana sura mbaya hana ujasiri wa kufanya hivyo maana hawez kupata manzi ingine
Kwani kuna mashindano?Tatizo lako bro kitu kimoja ambacho kwa asiyekujua ataogopa sana, you wanna talk about quantum physics? Let's talk about it
Mkuu ushapita kwa uwoya?Iren ni mzuri sana but sio kwakuoa ni kwa kupita tu sasa dogo hakuelewa kanogewa akaoa hajui kwann tuliopita hatukuoa
Kakurupuka au kajenga cv?Dogo janja alikurupuka sana
🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅Dogo naye alikuwa anajitafutia shida. HIVI UNAWEZA KWENDA HAPO FERI UKAKUTA MATATIZO YANAELEA BAHARINI YAMELETWA NA MAWIMBI KUTOKA KUSIKOJULIKANA NA HAYANA UELEKEO UKAZOA NA KUPELEKA NYUMBANI UKASEMA UMEPATA?
Hela unayo?Ila kafaidimo humu ndani wengi mnatamani mngepata kuonja radha ya uwoya na mmekosa kwahiyo mnaishia kurusha maneno mengi kwa dogo hata mm natamani lile tako angenipa hata usiku mmoja tuuu
Kujichanganya kweli kajichanganya. Lakini TAKO lake sio baya. Hilo ni miongoni mwa yale yanayovutia sana hapa nchini. Soft n HotHuyu mvulana alijichanganya tu kwa lile dude na tako lake baya
Mkuu umepotelea wapi.... Hatugongani kabisa humu jukwaani.....Huyu mvulana alijichanganya tu kwa lile dude na tako lake baya
....*****Muandishi mashuhuri wa vitabu vya historia wa Uingereza - huyu Behaviourist kanifanya mimi intellectual, sasa nishampeleka kwenye ubuyu namrudisha kwenye u intellectual- Paul Johnson, alihojiwa na kipindi kimoja cha BookTV C-Span Marekani.
Akawa anatoa maoni yake, kipindi hicho ndiyo Obama anakuwa Rais.
Akawaanaongelea usomi usomi, akaulizwa, utapenda Rais Obama awe msomi msomi atuondoe kwenye ujinga wa Bush?
Akasema hatapendelea, wasomi wasomi wakiendeleza usomi sana wanakuwa boring, halafu wanafanya mambo kwa vitabu sana mpaka wanaharibu.
Angependa kuona Obama anakuwa anachanganya werevu wa kisomi na werevu wa kimtaa mtaa.
Sasa rafiki yangu Behaviourist asishangae akinikuta najichanganya kutoka ma "logical non sequitur" kwenye philosophy of religion, mpaka stories ya ku destress za Dogo Janja.
Dogo Janja anaweza kujadiliwa in the highbrow prism of a post-modernist existential Shakespearean fool's tragicomic Romeo and Juliet analogy.