Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa kiki...
Mashabiki kazi sana na hawa wasanii.
sidhani, labda tu utamani kuungwa kwenye 'gridi' ya kilovolti 220Ila kafaidimo humu ndani wengi mnatamani mngepata kuonja radha ya uwoya na mmekosa kwahiyo mnaishia kurusha maneno mengi kwa dogo hata mm natamani lile tako angenipa hata usiku mmoja tuuu
ukute mleta uzi huu ni baba wa watoto watatu.. duh!
ukute mleta uzi huu ni baba wa watoto watatu.. duh!
Usijali binamu.binamu "mimi na wewe hatuna shida " kaa chini kunywa maji yashuke kabisaaa " huku uki relux ...ule ulikuwa ni upepo mbaya tu " umepita " siwajua watumishu " tuna stress za kutoongezewa mishahara " ... basi ndio nikajikuta nazimalizia kwako " maana ningesema nizipeleke kwa Jiwe " korokoroni pangenihusu
I LOOOOOVE IT WHEN YOU BRAGGING!!!Kitabu cha The God Delusion kimetoka nipo Marekani.
Mimi nilishazibuka tangu niko Tanzania, nimesoma "The Philosophy of Religion: An Anthology", kabla ya "The Selfish Gene".
Kwa taarifa tu
hahaaUsijali binamu.
Kuliko nisikie uko korokoni,Bora tu umalizie hasira kwangu.
Mana vinginevyo na mi ntajikuta wameshanisoudy brown
Hawa watu wengine wanafikiri mimi ni "Johnny come lately" kwenye mambo haya.I LOOOOOVE IT WHEN YOU BRAGGING!!!
hahhahahhaha ni nyundo ya uso paaaaaaah!!
Huwa nachekaaaaa
Haha, hii hoja nzitoMuhimu kuosha rungu, kuachwa ajali kazini.