Dogo Janja abwagwa rasmi,Jamii iwe karibu naye asije akafa

Ketoka

JF-Expert Member
Sep 23, 2015
1,087
1,913
Muigizaji wa Bongo movie Mrembo Irene Uwoya ametoa kauli ambayo imethibitisha kuachana kwake na mume wake staa wa Bongo fleva Dogo Janja.

Kwa mwezi sasa kumekuwa na tetesi kuwa Irene Uwoya ameachana na Dogo huku tetesi hizo zikichangiwa na Safari aliyoifanya Uwoya wiki chache zilizopita nchini Dubai ambako ilisemekana alikuwa na mwanaume mwingine.

Ingawa wawili hao walishawahi kukataa tetesi za kuachana Lakini sasa inaonekana kama wameamua kuweka mambo hadharani kwani Uwoya ameandika maneno ambayo yameleta sintofahamu.

Kupitia page yake ya instagram, Uwoya ameweka comment kwa shabiki mmoja aliyemhoji Kuhusu Dogo Janja ambapo ameandika kuwa ameamua kumuacha Dogo Janja na kutafuta mwanaume anayeendana naye kiumri.

Irene Uwoya aliandika maneno haya:

Simlisema wenyewe nitafute wa umri wangu yeye bado mdogo? Sasa nimefata ushauri jamani…..au kaishakuwa

.....my take....

Jamii na marafiki wa karibu ni muda mwafaka kuwa naye karibu kwa ushauri maana mapenzi yanatesa na kuua,sio siri stress za mapenzi zinaua

Pole Dogo Janja
 
Muigizaji wa Bongo movie Mrembo Irene Uwoya ametoa kauli ambayo imethibitisha kuachana kwake na mume wake staa wa Bongo fleva Dogo Janja.

Kwa mwezi sasa kumekuwa na tetesi kuwa Irene Uwoya ameachana na Dogo huku tetesi hizo zikichangiwa na Safari aliyoifanya Uwoya wiki chache zilizopita nchini Dubai ambako ilisemekana alikuwa na mwanaume mwingine.

Ingawa wawili hao walishawahi kukataa tetesi za kuachana Lakini sasa inaonekana kama wameamua kuweka mambo hadharani kwani Uwoya ameandika maneno ambayo yameleta sintofahamu.

Kupitia page yake ya instagram, Uwoya ameweka comment kwa shabiki mmoja aliyemhoji Kuhusu Dogo Janja ambapo ameandika kuwa ameamua kumuacha Dogo Janja na kutafuta mwanaume anayeendana naye kiumri.

Irene Uwoya aliandika maneno haya:

Simlisema wenyewe nitafute wa umri wangu yeye bado mdogo? Sasa nimefata ushauri jamani…..au kaishakuwa

.....my take....

Jamii na marafiki wa karibu ni muda mwafaka kuwa naye karibu kwa ushauri maana mapenzi yanatesa na kuua,sio siri stress za mapenzi zinaua

Pole Dogo Janja
We umeona stress za mapenzi tu ndo zitamuua Janjaro? Ngoma je?
 
Imma imma imma take you to Dubai...
I'll take you to Dubai...

Imma imma take you to Dubai..
I'll take you to Dubai..

Kuna waatu na viatuuu...

Nani anaujua wimbo huo?

Usifanye mchezo na maraha ya Dubai hahahaha.

Ila Dogo Janja kashajiwekea CV kwa Uwoya hapo daima atakuwa mtalaka wake.
 
Teh teh teh
Wanawake huwa tunajuwa jinsi ya kumhandle mwaname definatel who has money.
When he undergo bankcrup we usually escape/isolate and creat Reason/ Sababu ili asinisumbuwe.

Pole Janjaro ndio Maisha yalivyo, Uwoya atamove to mtu mwingine avute mkwanja.

Pls Wadau naomba hili liwe somo kwa Wengine.
NO MONEY NO LOVE/SEX
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom