Dogo anataka kuacha kazi serikalini aende private

MIGUGO

JF-Expert Member
Dec 3, 2011
2,131
3,911
Mdogo wangu awali alifanya kazi private kwenye mradi mmoja lakini baada ya ule mradi kuisha bahati nzuri akapata kazi serikalini.

Sasa wale waajiri wake wa awali wamemuita tena kwenye mradi mwingine.

Government analipwa around Tsh1.2m gross salary ambayo ni ajira ya kudumu.Private atalipwa kati ya Tsh4.5m - 6m per month ila ni mkataba wa mwaka renewable kama akiperfom vizuri.

Anaomba ushauri je aache kazi serikalini aende private?
 
Nimemshauri asiache kwa sababu waafrika hatuna nidhamu ya fedha ni bora aendelee kubaki serikalini. Maana anaweza akawa anatumia hela vibaya mpaka mkataba ukaisha na asifanye chochote then wasirenew mkataba.
Around 60millions kwa mwaka halaf linganisha na hzo za serkalin..
Huko private anaweza akafanya kazi na akafungua miradi yake mingne ya kumuingizia fedha
 
aache,
hii serikali haina uwezo wa kuboresh maslah ya watumishi wake,
hata mawaziri imeshindw kuweka sabab ya ukata,
cheki nyundo zinazoendlea kuwekwa toka EU na washirika wengne,
kifupi kama unajitambua ni aibu kuitumikia serkali ya hovyo kama hii,
 
Mdogo wangu awali alifanya kazi private kwenye mradi mmoja lakini baada ya ule mradi kuisha bahati nzuri akapata kazi serikalini.

Sasa wale waajiri wake wa awali wamemuita tena kwenye mradi mwingine.

Government analipwa around Tsh1.2m gross salary ambayo ni ajira ya kudumu.Private atalipwa kati ya Tsh4.5m - 6m per month ila ni mkataba wa mwaka renewable kama akiperfom vizuri.

Anaomba ushauri je aache kazi serikalini aende private?
Asiache ajira ya serikali.

1.2 itamuwezesha kukopa mkopo wa muda mrefu, akafungua mradi mkubwa tu na huku ajira bado anayo.
 
Mdogo wangu awali alifanya kazi private kwenye mradi mmoja lakini baada ya ule mradi kuisha bahati nzuri akapata kazi serikalini.

Sasa wale waajiri wake wa awali wamemuita tena kwenye mradi mwingine.

Government analipwa around Tsh1.2m gross salary ambayo ni ajira ya kudumu.Private atalipwa kati ya Tsh4.5m - 6m per month ila ni mkataba wa mwaka renewable kama akiperfom vizuri.

Anaomba ushauri je aache kazi serikalini aende private?
Go private hacha woga.
 
Mdogo wangu awali alifanya kazi private kwenye mradi mmoja lakini baada ya ule mradi kuisha bahati nzuri akapata kazi serikalini.

Sasa wale waajiri wake wa awali wamemuita tena kwenye mradi mwingine.

Government analipwa around Tsh1.2m gross salary ambayo ni ajira ya kudumu.Private atalipwa kati ya Tsh4.5m - 6m per month ila ni mkataba wa mwaka renewable kama akiperfom vizuri.

Anaomba ushauri je aache kazi serikalini aende private?
Swali nzuri sana, Huwezi sema nimepotea njia na hujui unakokwenda, maamuzi yake yatategemea anataka kufikia wapi kwenye maisha yake, kwa mfano kama anataka kufikia cheo cha juu ktk jamii nafasi kubwa iko Serekalini, lakini kama anataka kupata pesa nyingi sana, nafasi kubwa iko kwenye Private sector.
 
Mkuu,Kuacha kazi ni jambo la kawaida kabisa. Atoe tu sababu nzuri inayoeleweka aendelee na mishe then akimaliza muda wake anaweza omba kurudi kama wakimpokea fini wasipompokea anaendelea na maisha.SUCH is LIFE
 
Ingekuwa ni mimi ningefanya hivi

Nngeongea na muajiri wangu wa hapo serikalin kuwa nilete mtu nnaye muamini aje afanye hy kazi nayofanya mm (kwa muda fulan ambao mm sitokuwepo hapo ofisini)

Akikubali, ntamleta mtu hapo halafu mm naenda huko private nkimaliza mkataba nao bc ntarud serikalin
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom