Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,133
- 33,452
Wacha ni switch kwenye lugha aliyopendelea kuitumia Hayati John Joseph.
Kama mjuavyo Magufuli alikwa amekwisha teua wabunge wake ambao aliona wanamfaa. Sasa nauliza je Samia naye anayo nafasi kama hiyo ya uteuzi wa nafasi kumi kikatiba kwa sasa? Au nimpaka hao waliokwisha kiteuliwa wapoteze nafasi zao?
Kwa wale hadhira nyingine
As you know, Magufuli had already elected his ten MPs for his term. now I ask if samia also has a similar position for the rest of the constitutional years?
Kama mjuavyo Magufuli alikwa amekwisha teua wabunge wake ambao aliona wanamfaa. Sasa nauliza je Samia naye anayo nafasi kama hiyo ya uteuzi wa nafasi kumi kikatiba kwa sasa? Au nimpaka hao waliokwisha kiteuliwa wapoteze nafasi zao?
Kwa wale hadhira nyingine
As you know, Magufuli had already elected his ten MPs for his term. now I ask if samia also has a similar position for the rest of the constitutional years?