Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Wandugu,
Nilikuwa kifungoni ndiyo nimetoka mida hii navuta pumzi ya uraiani baada ya mwezi mzima wa kukaa lupango na kunyea debe nikituhumiwa kuwa mchochezi.
Nilipoingia tu humu jamvini nimekumbuka mara moja gazeti kipenzi cha watanzania gazeti la MwanaHalisi. Hivi wadau tuambizane ukweli, does it make sense mpaka sasa gazeti hili kufungiwa? Najua lilifungiwa kwa kipindi kisichojulikana kwa mujibu wa sheria kandamizi, lakini je, serikali kuendelea kukaa kimya mpaka sasa tafsiri yake ni nini? Au ndiyo imetoka hiyo?
NOTE:
Kifungo nilichopata ni BAN YA HUMU JF.
Nilikuwa kifungoni ndiyo nimetoka mida hii navuta pumzi ya uraiani baada ya mwezi mzima wa kukaa lupango na kunyea debe nikituhumiwa kuwa mchochezi.
Nilipoingia tu humu jamvini nimekumbuka mara moja gazeti kipenzi cha watanzania gazeti la MwanaHalisi. Hivi wadau tuambizane ukweli, does it make sense mpaka sasa gazeti hili kufungiwa? Najua lilifungiwa kwa kipindi kisichojulikana kwa mujibu wa sheria kandamizi, lakini je, serikali kuendelea kukaa kimya mpaka sasa tafsiri yake ni nini? Au ndiyo imetoka hiyo?
NOTE:
Kifungo nilichopata ni BAN YA HUMU JF.