Does it mean Gazeti la MwanaHALISI Ndiyo Kwaheri!!??

Kingcobra

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
1,000
309
Wandugu,
Nilikuwa kifungoni ndiyo nimetoka mida hii navuta pumzi ya uraiani baada ya mwezi mzima wa kukaa lupango na kunyea debe nikituhumiwa kuwa mchochezi.

Nilipoingia tu humu jamvini nimekumbuka mara moja gazeti kipenzi cha watanzania gazeti la MwanaHalisi. Hivi wadau tuambizane ukweli, does it make sense mpaka sasa gazeti hili kufungiwa? Najua lilifungiwa kwa kipindi kisichojulikana kwa mujibu wa sheria kandamizi, lakini je, serikali kuendelea kukaa kimya mpaka sasa tafsiri yake ni nini? Au ndiyo imetoka hiyo?

NOTE:
Kifungo nilichopata ni BAN YA HUMU JF.
 
Wandugu,
Nilikuwa kifungoni ndiyo nimetoka mida hii navuta pumzi ya uraiani baada ya mwezi mzima wa kukaa lupango na kunyea debe nikituhumiwa kuwa mchochezi.

Nilipoingia tu humu jamvini nimekumbuka mara moja gazeti kipenzi cha watanzania gazeti la MwanaHalisi. Hivi wadau tuambizane ukweli, does it make sense mpaka sasa gazeti hili kufungiwa? Najua lilifungiwa kwa kipindi kisichojulikana kwa mujibu wa sheria kandamizi, lakini je, serikali kuendelea kukaa kimya mpaka sasa tafsiri yake ni nini? Au ndiyo imetoka hiyo?
Mkuu King, kumbe ulikuwa kifungoni!! Ndiyo maana nasikia harufu ya mtu anayeonekana hajaoga muda mrefu sana. Kuhusu Mwanahalisi bila shaka hiyo ni kwa heri. Serikali ya magamba haiwezi kuruhusu liingie mitaani tena hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi wao wa ndani.
 
Pole kwa lupango ila kama ulienda huko kwa ajili ya kupigania haki jina lako litabaki kwenye historia ya nchi yetu ila kama ulikwenda kwa kukwepa kuhesabiwa au kusHawishi watu wasihesabiwe umepokea ujira sahihi wa kazi yako,!! kuhusu mwanahalisi Lipo kifungoni kisichojulikana kitaisha lini huenda ni cha milele au cha muda only serikali ya magamba ndio inajua ila naona hakitapita 2015 kwani baada ya ukombozi litafunguliwa!!
 
Wandugu,
Nilikuwa kifungoni ndiyo nimetoka mida hii navuta pumzi ya uraiani baada ya mwezi mzima wa kukaa lupango na kunyea debe nikituhumiwa kuwa mchochezi.

Nilipoingia tu humu jamvini nimekumbuka mara moja gazeti kipenzi cha watanzania gazeti la MwanaHalisi. Hivi wadau tuambizane ukweli, does it make sense mpaka sasa gazeti hili kufungiwa? Najua lilifungiwa kwa kipindi kisichojulikana kwa mujibu wa sheria kandamizi, lakini je, serikali kuendelea kukaa kimya mpaka sasa tafsiri yake ni nini? Au ndiyo imetoka hiyo?

NOTE:
Kifungo nilichopata ni BAN YA HUMU JF.

Pole kwa kuchezea ban kamanda. Ila next time fungua ID mpya kama debra1, fauster john, almasiomary, nimekoma n.k. Hawa wamekuja kivingine baada ya kula life ban.
 
Wandugu,
Nilikuwa kifungoni ndiyo nimetoka mida hii navuta pumzi ya uraiani baada ya mwezi mzima wa kukaa lupango na kunyea debe nikituhumiwa kuwa mchochezi.

Nilipoingia tu humu jamvini nimekumbuka mara moja gazeti kipenzi cha watanzania gazeti la MwanaHalisi. Hivi wadau tuambizane ukweli, does it make sense mpaka sasa gazeti hili kufungiwa? Najua lilifungiwa kwa kipindi kisichojulikana kwa mujibu wa sheria kandamizi, lakini je, serikali kuendelea kukaa kimya mpaka sasa tafsiri yake ni nini? Au ndiyo imetoka hiyo?

NOTE:
Kifungo nilichopata ni BAN YA HUMU JF.

natamani SIKU TBC walifungie kwa KUFICHA UKWELI !
 
Pole sana kwa kufungwa na hongera kwa kutoka jela
Mungu ataendelea kukupigania
asante
 
Back
Top Bottom