Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Usiishi kwa kukariri.

Kukuelimisha - mara mchakato wa uchaguzi ukianza, ofisi zote za Tume ya Uchaguzi hufanya kazi siku zote bila ya kujali ni sikukuu au Jumapili au Jumamosi.

Kaa nalo hilo kichwani ili usiendelee kupotosha. Kama hujui, uliza. Unapoongea kama vile una uhakika, unautumia ujinga wako kuwapotosha watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu
 
Be specific...

Kwani una maana gani kusema awe makini na mwisho;

"....bila kupoteza credibility yake..."??

Ni nini umekiona kwa Tundu Lissu ambacho kinaweza kumpotezea what you call " credibility ?"

Kwa sababu, mimi binafsi ninachokiona kwa watu ni HOFU waliyonayo dhidi ya mtu huyu. Hakuna kitu kingine....

Kama kuna mtu ambaye hana "credibility" ya uongozi si mwingine bali ni mgombea wa CCM, ndg Magufuli....

Anafanya makosa mengi ya wazi kuanzia kuongea kwake, kutenda kwake na hata kupumua.....

Tundu Lisu na wanacdm wamepita hapo kwenye nilichokisema, wote wamejua nimeeleza nini. Nimetumia lugha ya picha kuwa tunataka bondia anayepiga ngumi kali na za moto, ila ngumi hizo zisiwe za chini ya mkanda maana hazitoi maksi, na zinapunguza maksi. Kama una uwezo wa kuelewa basi ufafanuzi ndio huo.
 
Kosa kubwa alilofanya Magufuli ni kukaa kimya baada ya Lissu kushambuliwa kama mwanasiasa alitakiwa atoe tamko hata kinafiki..inaenda kumdondosha mapemaaa

Hahahaha wetu utakuwa mgeni humu au wamitandao hahaa ngoja nikuonee huruma
 
Lissu hawezi kushinda na kamwe hatakuwa rais wa Tanzania labda jua libadili uelekeo,kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?

Lissu ni mtu hatari sana kwa mstakabari wa taifa letu kwani ni selfish person, ni mtu mwenye jazba,hana nidhamu,amejaaa chuki,na anatumika na nchi za magharibi ili kuvuruga mstakari na umoja wa taifa letu,huyu bwana hafai lazima apingwe kwa kila namna .

Harafu mtu anaposema lissu atakuwa rais ni kujidanganya sana,ataongoza serikali ipi ikiwa chama chake hakina uhakika wa kupata japo wabunge watano,hii ni ndoto

Mwambie lissu kuwa amejidanganya na kama anamatumaini ya kuiongoza Tanzania basi kapotea,

Eti mtetezi wa wanyonge,wanyonge wepi hao anaowatetea ?
Hili la mabeberu km ndiyo 'brainwasing' propaganda kwasasa imepitwa na wakati. CCM mkikwama kitu mnasingizia mabeberu, kwani mabeberu wanahusika vipi na sera za majukwaani ambazo ndizo zinasababisha biashara zife na mkwamo wa kiuchumi. 'Any decision you make in life you are responsible for it'. Do not blame others for your failure to solve promblems through your same level of thinking
 
Lissu hawezi kushinda na kamwe hatakuwa rais wa Tanzania labda jua libadili uelekeo,kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?

Lissu ni mtu hatari sana kwa mstakabari wa taifa letu kwani ni selfish person, ni mtu mwenye jazba,hana nidhamu,amejaaa chuki,na anatumika na nchi za magharibi ili kuvuruga mstakari na umoja wa taifa letu,huyu bwana hafai lazima apingwe kwa kila namna .

Harafu mtu anaposema lissu atakuwa rais ni kujidanganya sana,ataongoza serikali ipi ikiwa chama chake hakina uhakika wa kupata japo wabunge watano,hii ni ndoto

Mwambie lissu kuwa amejidanganya na kama anamatumaini ya kuiongoza Tanzania basi kapotea,

Eti mtetezi wa wanyonge,wanyonge wepi hao anaowatetea ?

Mpaka uchaguzi upite utakuwa umekonda vibaya. Huyo unayempinga ana nyota kali. Kwa pointi hizo wala hummalizi.
 
Hili la mabeberu km ndiyo 'brainwasing' propaganda kwasasa imepitwa na wakati. CCM mkikwama kitu mnasingizia mabeberu, kwani mabeberu wanahusika vipi na sera za majukwaani ambazo ndizo zinasababisha biashara zife na mkwamo wa kiuchumi. 'Any decision you make in life you are responsible for it'. Do not blame others for your failure to solve promblems through your same level of thinking
Tena hiyo propaganda imekufa kifo Cha mende
 
... kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?
Hakuna mtu anayeyeza kuifanyia vitu vizuri nchi bila ya kuwa na mamlaka ya kodi inayokusanywa kutoka kwa wananchi. Tofauti inayolinganishwa huwa ni namna ya kuyapangilia makusanyo ya fedha yaliyopatikana. Au ulitaka Lissu atifanyie nchi vitu vizuri kwa ruzuku ya CHADEMA?
 
Hakuna mtu anayeyeza kuifanyia vitu vizuri nchi bila ya kuwa na mamlaka ya kodi inayokusanywa kutoka kwa wananchi. Tofauti inayolinganishwa huwa ni namna ya kuyapangilia makusanyo ya fedha yaliyopatikana. Au ulitaka Lissu atifanyie nchi vitu vizuri kwa ruzuku ya CHADEMA?
Hajitambui huyo
 
114 Reactions
Reply
Back
Top Bottom