mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 483
Akielezea hilo, asiwe mbinafsi AELEZEE na la Chacha Wangwe. Ni muhimu sana historia ya CHADEMA katika mapambano yao wasimsahau huyo ndugu. Lissu asiwe selfish in these issues ili watoto wadogo wa siasa za CHADEMA wajue na hilo. Mkumbusheni sana hili mgombea Lissu ili kumtendea haki Chacha Wangwe and may his soul rest in peace. Amen.Sidhani kama ni sahihi Tundu Lisu kuacha kuongelea shambulizi dhidi yake. Huo ni mfano mzuri wa mahali tulipo leo, na yeye kuwahakikidha wapiga kura kuwa mambo ya hovyo kama hayo yaliyompata hayatatokea.
Sent using Jamii Forums mobile app