Hata Mbuzi hukimbiaaaaVita ni vitaa muraaaah
Kwanza kavumiliwa Sana,Nape alionywa kwa mashine..takataka kama hii mnaichekea ya nini?Bora mama angekua JPM angemumiminia risasi zaidi ya 16....
Muosha huowoshwa hiyoWakati anawapongeza Polisi kwa kumpiga Tundu Lissu risasi alijua yeye na Magufuli watakuwa na nguvu za kidola daima?
Kwa hiyo wametumwa na serikali ya sasa?ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
Ushauri wako mzuriOooh my God,Dunia duara eti!
Pole sana ndugu yangu Humphrey ni mitihani ya Dunia ndiyo ukomavu kisiasa
Siasa hazihitaji uoga,unafiki au kujipendekeza wewe funguka tu.
Labda nikwambie au nikukumbushe kitu polepole ni kwamba Lissu yupu Ubelgiji na Lema yupo Canada kaka.
Na wewe tafuta Chaka au ubane kwenye Kona yako
Wahuni siyo watu wazuri,
Naona kuna gitaa hapoHabari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847